Magufuli ndo Rais wetu - safari za nje haendi wala ziara za ndani hafanyi

kazi aliyopewa mhe. rais na watanzania anaifanya kwa uwezo, uaminifu, uzalendo na uadilifu mkubwa. Sauti za pongezi kutoka kila pembe ya nchi ni ishara ambayo watanzania walitaka kuiona baada ya kuinuliwa nabii wa kuivusha Tanzania katikati ya bahari ama jangwa.

uwezekano wa rais Magufuli kushinda ni mkubwa kuliko kushindwa kwa sababu watu walitaka kuona ishara nazo zinaonekana, ishara hizo ni pamoja na kupungua kwa changamoto za upatikanaji wa elimu, maji na vituo vya afya......listi ni ndefu sana ila naweza kusema zimefanyika
acha ujinga wewe hizo kawaambie ke wenzio sio usimame mbele ya midume then unye pumba kama hizo zahanati yetu hadi leo tumejenga kwa nguvu zetu lakini kina nesi 1 tu tena wa enzi za JK. unapataje huduma za afya na nesi mmoja hivi kashindwa kuajiri manesi je hakuna wenye sifa na wapo mtaani, sie tuliomchagua tunateseka mpeni ujumbe huu acheni kusifu kipuuzpuuzi mbw nyie mwambieni ukweli kama wale wa madini.
 
Kule kusini walipongeza hadi wakamsujudia, lakini sasa hivi wanalia na kusaga meno (NB: Pongezi/maandamano yote huwa zinaandaliwa na wakuu wa mikoa/wilaya wakishirikiana na wanaccm)
nitajie mji au wilaya walioandamana kumpongeza
 
kazi aliyopewa mhe. rais na watanzania anaifanya kwa uwezo, uaminifu, uzalendo na uadilifu mkubwa. Sauti za pongezi kutoka kila pembe ya nchi ni ishara ambayo watanzania walitaka kuiona baada ya kuinuliwa nabii wa kuivusha Tanzania katikati ya bahari ama jangwa.

uwezekano wa rais Magufuli kushinda ni mkubwa kuliko kushindwa kwa sababu watu walitaka kuona ishara nazo zinaonekana, ishara hizo ni pamoja na kupungua kwa changamoto za upatikanaji wa elimu, maji na vituo vya afya......listi ni ndefu sana ila naweza kusema zimefanyika
..."sauti za pongezi kutoka kila pembe ya nchi"...
tapatalk_1549895971904.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kazi aliyopewa mhe. rais na watanzania anaifanya kwa uwezo, uaminifu, uzalendo na uadilifu mkubwa. Sauti za pongezi kutoka kila pembe ya nchi ni ishara ambayo watanzania walitaka kuiona baada ya kuinuliwa nabii wa kuivusha Tanzania katikati ya bahari ama jangwa.

uwezekano wa rais Magufuli kushinda ni mkubwa kuliko kushindwa kwa sababu watu walitaka kuona ishara nazo zinaonekana, ishara hizo ni pamoja na kupungua kwa changamoto za upatikanaji wa elimu, maji na vituo vya afya......listi ni ndefu sana ila naweza kusema zimefanyika
Umeshamaliza matibabu yako ya ugonjwa wa akili?
Where have you ever seen the entire class of 30 pupils passes for secondary school?
Hiyo ndo Elimu bora?
Mmelaaniwa nyie watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara zote hapa duniani kinachoangaliwa ni end results yani matokeo kama utakuwa hujanielewa na ndio kitu ambacho watu wanahangaika nacho bila kuangalia yametokeaje....ndio maana hamtoisha kulalamika maisha yenu yote :D:D:D mtapata tabu sana.
Asante sana kwa kuzidi kuonyesha upumbavu wako, eti bila kujali yamepatikanaje, safi sana mpumbavu ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongozi wa wizi wa kura,uchawi wa T.B.Joshua na kutoa kafara roho za watu.....sasa ukoo mzima unatoa kafara ndugu yake mpwa Dotto DED Itigi (Shija) naye kaua hadharani tena kwenye nyumba ya Ibada.....huko huko mpwa Shija alikoulia mtu Jiwe naye anaenda huko kuwasihi watanzania"tumuombee"!
Ni aibu ya karne......Jiwe must step down 2020
Mkuu nakubaliana na wewe, ila Naomba nikusahihishe, TB JOSHUA siyo mchawi hata kidogo, ni Mtumishi wa kweli wa Mungu, na ndiye alitabiri mwisho mbaya wa jiwe, alipokuja Tanzania 2015,hakuja kwa ajili ya jiwe, Kama unakumbuka hata siku jiwe linaapishwa hakwenda na alikuwa bado yupo Tanzania, aliondoka siku iliyofuata usiku wa manane na ndege yake.
Ni mambo mabaya mno yataikuta nchi mikononi mwa jiwe, alikuja Tanzania kwa mazito, na kuna tetesi jiwe halitaki kuondoka madarakani hata baada ya 2025.
Kumbuka zile kampeni za Musiba na Juma Nkamia za Jiwe baki, walitumwa kupima upepo, akili za jiwe ili atawale Kama Kagame au Museveni ni lazima kwanza aufyeke upinzani hata kwa gharama ya Damu, ndo maana unaona kina Mbowe wanateseka kwa kesi za kubambikwa, Lissu Yupo anajiuguza kwa risasi, kina Ben Saanane wamepotezwa na nk.
Akimaliza wapinzani anawageukia wana CCM wenzake wanaompinga asitawale hadi kufa, ndo maana unaona Bunge kaliweka mfukoni mwake.
Yapo mengi mkuu, tuishie hapa kwanza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom