Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,503
- 86,053
ni hatari kuwa na Taifa lenye watu wenye maono mafupi, wanaongozwa na hisia za watu au kikundi badala ya Taifa, nimuonavyo Magufuli si lolote si chochote na ni kipindi cha kufunua hata yale yaliyojificha. Tutaanza na report ya CAG ya juzi ndipo turudi kwenye mengine na mseme kama kweli mna uwezo wa kumsimamisha Magufuli