Magufuli Mitano Tena

2015 hakushinda, alitangazwa tu hadi mwenyewe akasema alisukumiziwa tu.

Huu utakuwa uchaguzi wake wa kwanza, pia hawezi kushinda.

Aliitafuta legitimacy kwa nguvu, sasa alijiona anapendwaaa, Lisu kafanya mikutano michache tu, Magufuli hoiii.

Hahaha
 
Mmawia, Daudi Mchambuzi , Erythrocyte & Co. mmakaribishwa ktk ante party ya kusherehekea ushindi wa kishindo wa jpm 2020.
 
Huwa natoa LIKE mara chache sana kadri navyooma inafaa kamata LIKE hiyo jamaa angu 👍
 
Kama mnaamini Pombe atashinda kwanini mataga mnatuma wahuni wavamie shuhuli za vyama vya upinzani?
Hao wanaovamia ni matukio yanatengenezwa na chadema ili kutafuta kiki kuwa wanaonewa ktk jukwaa la kimataifa...sinema limebugi...
 
Hao wanaovamia ni matukio yanatengenezwa na chadema ili kutafuta kiki kuwa wanaonewa ktk jukwaa la kimataifa...sinema limebugi...
Ni kwa nini mnapiga fine maradio na tv wanaorusha habari za Lissu?
Kwa nini mnatuma mapolisi kuvizia form za wagombea wa upinzani?

Ni nini hicho kinachowaogopesha sana hadi mnatamani jina la Lissu lienguliwe??
 
Ni kwa nini mnapiga fine maradio na tv wanaorusha habari za Lissu?
Kwa nini mnatuma mapolisi kuvizia form za wagombea wa upinzani?

Ni nini hicho kinachowaogopesha sana hadi mnatamani jina la Lissu lienguliwe??
Hofu yenu ndio ugonjwa wenu. Mnapita karibu na kituo cha polisi ukimuona polisi unahisi anakuandama wewe.
 
Tumia angalau 10% ya akili yako, hicho chakula kinatoka mbinguni, so ufanye kazi uweze kununua hicho chakula au ukizalishe
 
Mmawia, Daudi Mchambuzi , Erythrocyte & Co. mmakaribishwa ktk ante party ya kusherehekea ushindi wa kishindo wa jpm 2020.
Kitu pekee cha kumfanya JPM aonekane Rais wa ajabu ni iwapo atakosa usingizi kwa hofu na stress za huu uchaguzi. Eti ashindwe uchaguzi wa term ya pili? Hilo halijawahi kutokea kwa yeyote aliyemtangulia kwenye urais.
 
Meko ni lazima akae pembeni na madaraja yake.

Watanzania wanahitaji ustawi katika maisha yao ya kila siku sio madaraja pekee ambayo hayamfanyi mtu ashibe.
 
Meko ni lazima akae pembeni na madaraja yake.

Watanzania wanahitaji ustawi katika maisha yao ya kila siku sio madaraja pekee ambayo hayamfanyi mtu ashibe.
Duh..
Hii sasa ni kama playStation ya uchaguzi wa 2020. Naona mnafheza playstation tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…