Ni vigumu kuitenga CCM na ujanja ujanja .
Hii sheria mpya ya madini ni kweli ilipitishwa kwa hati ya dharura?
Kwa ni CAG ameilalamikia?
Link Kwa mujibu wa Sheria mpya za madini, CAG hana mamlaka ya kukagua migodi - JamiiForums
Tumeamriwa na KalaMaganda tunyamaze, tukae kimya.