Hili collabo Magu hatoiweza.Hahaha CCM Bhana ngoja nikuulize Ndg. Chahali Unauzungumziaje Upande wa Pili wenye Timu Makini Pia Inayoongozwa na checkBob(JK) , striker Wao Membe na winger zao Machachari January makamba na Nape Nnauye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawamchezei mchezo wowote bali wote kwa umoja wao wanacheza mchezo mchafu against taifa letu. Tokea rais amekuwa karibu na hawa majamaa kwanza ameacha kutoka hadharani kuzungumza mambo ya msingi ya kitaifa kama ilivyozoeleka awali na ameacha kuhimiza sera yake ya viwanda na masuala ya ufisadi na uwizi ameacha kupigana kimyakimya. Nimeanza kupata mashaka kwa rais wangu huyu. Rais wetu kuwa karibu na Rostam Aziz na lowasa ni fedheha sana. Hawa ni watu ambao walitakiwa lupango kitambo sana.Masikitiko kusema kuwa kuna mchezo mchafu Jiwe atachezewa akija kushtuka ameshaliwa na kashaumia. Muda ndio msema kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
you sure?I can safely call all these,a bluff,ni PR silly stunts,nothing serious!
Mikutano serious ni ile ambayo haitangazwi!
Hizo Team Mbili zikimenyama Panapo Majaliwa 2020 kuna Mtu anakohoa Damu Trust me.Hili collabo Magu hatoiweza.
PR tafadhali picha hizi hasa hiyo ya mwisho kwa bwana mkubwa si sahihi sana. Hasa "position" na "handshake" hazijakaa sawa kwa Mkulu, mnatuangusha."Once is an accident. Twice is a coincidence. Three times is an enemy action." ~ Goldfinger View attachment 959052View attachment 959053View attachment 959054
Atafungwa nani hapo wakati hao mafisadi wanahitajika kutoa msaada wa hali na maliHapo vita ya ufisadi na mahakama yake kwishney! Mwendo ni kula matapishi tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Babu alikuwa anajua Unafiki wana CCM wenzake.