Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,836
Magufuli tulikuwa tunaimbishwa kuwa ni kipenzi cha wanyonge na kiboko ya mafisadi,
Lakini hakuna fisadi yoyote aliyefumfunga zaidi ya kuwajengea mahekalu Kikwete, Mwinyi, Mkapa, kuteua wake na watoto wao kuwa viongozi, Kama vile mama Salma mbunge, mtoto wa Mkapa kuwa Katibu mkuu, mtoto wa Pinda kuwa Waziri, mtoto wa Mwinyi kuwa Rais, watoto wa Kabudi nafasi Simbachawene kuwa mabalozi na wengine wengi
Rais wa Angola Joaò Lourenco ambaye anatoka kwenye chama tawala cha muda mrefu cha MPLA amemfilisi mtoto wa mtangulizi wake Isabella do Santos, mtoto wa Rais wa kwanza wa Angola Eduardo Do Santos
Isabella alikuwa ndio mwanamke tajiri zaidi Afrika akiwa na utajiri wa haliwezi dola bilioni 2 sawa na trilioni tano alioupata kipindi cha baba yake kwa ufisadi
An Angolan billionaire who has been described as Africa's richest woman has lost a High Court battle to stop her assets being frozen.
Isabel dos Santos, the daughter of a former president, is being sued by telecoms firm Unitel.
The Angolan company is seeking damages of $733m (£580m) arising from financial decisions taken by Ms Dos Santos during her time as a director of the firm.
Ms Dos Santos says the case is a political vendetta.
Lakini hakuna fisadi yoyote aliyefumfunga zaidi ya kuwajengea mahekalu Kikwete, Mwinyi, Mkapa, kuteua wake na watoto wao kuwa viongozi, Kama vile mama Salma mbunge, mtoto wa Mkapa kuwa Katibu mkuu, mtoto wa Pinda kuwa Waziri, mtoto wa Mwinyi kuwa Rais, watoto wa Kabudi nafasi Simbachawene kuwa mabalozi na wengine wengi
Rais wa Angola Joaò Lourenco ambaye anatoka kwenye chama tawala cha muda mrefu cha MPLA amemfilisi mtoto wa mtangulizi wake Isabella do Santos, mtoto wa Rais wa kwanza wa Angola Eduardo Do Santos
Isabella alikuwa ndio mwanamke tajiri zaidi Afrika akiwa na utajiri wa haliwezi dola bilioni 2 sawa na trilioni tano alioupata kipindi cha baba yake kwa ufisadi
An Angolan billionaire who has been described as Africa's richest woman has lost a High Court battle to stop her assets being frozen.
Isabel dos Santos, the daughter of a former president, is being sued by telecoms firm Unitel.
The Angolan company is seeking damages of $733m (£580m) arising from financial decisions taken by Ms Dos Santos during her time as a director of the firm.
Ms Dos Santos says the case is a political vendetta.