Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Magufuli aliku rais wa ajabu haijawahi kutokea tangu kuumbwa kwa Taifa la Tanzania, Magufuli alikua rais asieheshimu taratibu za Nchi akaifanya Nchi kuwa geto na wafuasi wake kina Sabaya na wengine wengi, Hakika kuondoka kwa magufuli watanzania wanaupata Uhuru wamara ya pili baada ya ule wa miaka sitini.