johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Nafuatilia kwa karibu ziara ya Katibu mkuu wa CCM Komredi Chongollo akikagua miradi mbalimbali huko Shinyanga
Sijaona benders.ya Chadema.wala ACT wazalendo.kwemye kijiji chochote hii maana yake Upinzani unazidi kudorora kila uchwao
Kumbe siyo kweli Magufuli alikuwa anawabana wapinzani.ila Upinzani wa Tanzania ni lege lege na dhaifu mno.
Mungu ni mwema wakati wote
Sijaona benders.ya Chadema.wala ACT wazalendo.kwemye kijiji chochote hii maana yake Upinzani unazidi kudorora kila uchwao
Kumbe siyo kweli Magufuli alikuwa anawabana wapinzani.ila Upinzani wa Tanzania ni lege lege na dhaifu mno.
Mungu ni mwema wakati wote