Dar_Millionaire
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 227
- 82
Stori za Wapumbavu na Malofa bwana zinafurahisha kweli. Halafu wanajitekenya na kucheka wenyewe kwa video zao za ku-edit.
Msikilizeni kibabu cheni kishabadili kauli kutoka "Sina msamiati wa kushindwa" kuwa "Nikishindwa naenda kuchunga ng'ombe"
Hiyo ndiyo nguvu ya Magufuli.
Msikilizeni kibabu cheni kishabadili kauli kutoka "Sina msamiati wa kushindwa" kuwa "Nikishindwa naenda kuchunga ng'ombe"
Hiyo ndiyo nguvu ya Magufuli.