Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Nguvu ya umma yazidi kujiidhirisha hapa Jijini Dar es Salaam. Baada ya mgombea wa CCM, Magufuli kuzomewa tena na mamia ya wananchi.
Magufuli kazomewa maeneo ya Bunju, Boko, Tegeta na Mbezi. Huku wananchi hao wakiimba Lowassa, Lowassa, Lowassa...
Mytake: Tukutane Jumapili
Magufuli kazomewa maeneo ya Bunju, Boko, Tegeta na Mbezi. Huku wananchi hao wakiimba Lowassa, Lowassa, Lowassa...
Mytake: Tukutane Jumapili