Magufuli azomewa tena. Ni Bunju, Boko, Tegeta na Mbezi

Ni mfululizo wa ziara ya aibu ya magufuli jijini dar. Baada ya kukosa watu kigamboni na temeke na kuzomewa ubungo na pia leo mbezi kukosa watu. Aibu nyingine ameipata tegeta leo baada ya kuzomewa na wananchi sana.. Magufuli ameweka rekodi ya kuzomewa sana jijini dar na mbeya na sehem nyingi Tanzania. Tegeta wamevurugwa

Mimi nawalaumu "washauri" wa Magufuli!! Kwa nini hakuweza kuambatana na wasanii?? Mbona katika mikutano yote inayowashirikisha wasanii kunakuwa na "sunami" Hii ni mbinu mbaya ya baadhi ya makada wa CCM..Ndio maana Magufuli aliwahi kusema mchana wako CCM usiku wako UKAWA..
 
Kaka yaani kwa akili timam unaweza kumzomea MTU hata kama hukubali Sera zake? Hizo no darili za utoto na kama jujanywa viroba unatakiwa ukereke na Tabia hizo. Hii inadhihirisha level ya ujinga. Mtanyooka J2.

Ndoroobooo weyee....umeona kuzomewa kwa makomeo ni issue kuliko anavyotukanwa Lowasa...??? Au mnafikiri wananchi wanafurahishwa na matusi anayotukanwa Lowasa???.....
 
Ukawa wanafanya siasa za kitoto kuwapa watu viroba anapopita magufuli azomewe.kumzomea magufuli hakusaidii kupunguza kura zake

Kila anaye mzomea Magufuli amepewa VIROBA!!!???? Duh!!! Si ndio wapiga kura wenyewe, ati???
 
Kama hujanywa viroba wala kuvuta bangi, ni wazi kwamba akili yako ina matatizo tena makubwa sana, nn maana ya kuzomea? hayo ni mambo ya uke wenza na kwenye taarabu, na pia nahisi hauna familia na kama una familia basi ni zile familia ambazo hata kijijini zinadhalaulika kwa kutokuwa na maadili mema.

Ndo maana ccm itaendelea kutawala nchi hii kwa sababu hawana ujinga huo wa kuzomezomea, hata wasimamizi wa kimataifa naamini wanashangaa sana, hizi ni tabia za chadema. cuf na nccr hawana ujinga huo, ubabe, matusi, kelele ndo maadili yenu ambayo mmefundishwa na chama chenu, chama kinakuwa kama chama cha mateja.

Kazomewa unabishaaaa??? Imekula kwenu
 
chagadema at their best. hata mkipiga sauti kuita lowassa kiasi gani watz hawatapigia kura jiwe. pigeni wenyewe halafu atakua rais wa machame.
Kuzomewa kwa magufuli kunausiana nini na ukabilaa?? Mbeya waliomzomea nao ni wachagga??
Makugufuli juzi kahutubia kilugha mbona hatukuja kulalamika hapaa?
Acha propaganda za kipuuzii
 
Kama hujanywa viroba wala kuvuta bangi, ni wazi kwamba akili yako ina matatizo tena makubwa sana, nn maana ya kuzomea? hayo ni mambo ya uke wenza na kwenye taarabu, na pia nahisi hauna familia na kama una familia basi ni zile familia ambazo hata kijijini zinadhalaulika kwa kutokuwa na maadili mema.

Ndo maana ccm itaendelea kutawala nchi hii kwa sababu hawana ujinga huo wa kuzomezomea, hata wasimamizi wa kimataifa naamini wanashangaa sana, hizi ni tabia za chadema. cuf na nccr hawana ujinga huo, ubabe, matusi, kelele ndo maadili yenu ambayo mmefundishwa na chama chenu, chama kinakuwa kama chama cha mateja.

Umepanik bradaaa....mumeo kazomewa kamwekee maji ya kuoga umfute machozii
 
Nguvu ya umma yazidi kujiidhirisha hapa jiji Dar ea Salaam. Baada ya mgombea wa CCM, Magufuli kuzomewa tena na mamia ya wananchi. Magufuli kazomewa maeneo ya Bunju, Boko, Tegeta na Mbezi. Huku wananchi hao wakiimba Lowasaaaaaaaaa, Lowassaa, Lowasaaaa...

Mytake: Tukutane Jumapili

Ila matokeo yakitangazwa uje na ID hihi usije na ile nyingine.
 
Wakati anapita Mbezi Mimi ni moja wa watu tuliokuwa kwenye foleni .....vijana walianza kwa kuonesha alama ya mabadiliko ikabidi Magufuli asimame na kuanza kuzungumza nao ....nikashuhudia hao hao vijana wakianza kumshangilia huku wakitaka kumpa mkono ....hapo ndio nilipoanza kuelewa kwa uzuri mantiki ya neno maarufu "Nyumbu" ...
 
Back
Top Bottom