Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
POLICCM, DEDCCM, NECCCM
Jiwe likiporomoka kutoka mlimani lazima liwe kokoto hiyo ni kanuni ya asili
kwa hisabu hii ya lumumba hivo umaarufu wa JIWE wa kulazimisha nao umeshuka vibaya mnooooooo!!!Hata wewe mbona umeshuka umaarufu kwa mkeo? Na mkeo mbona kashuka umaarufu kwako? Zamani ulikuwa unampigia simu masaa ishirini na nne, ila siku hizi hata kubeep ni kazi. Zamani mkeo alikuwa anakupa mzigo 24/7 siku hizi anakupa mzigo kwa ratiba!
SOMO:
Kitu kinapokuwa kipya umaarufu wake huwa wa juu. Unapokizoea kinaanza kuwa cha kawaida. Na ndivyo ilivyo. Hata ukinunua gari huwa unatamani ulale ndani ya gari. One year down the lane hata kuliosha unaanza kuona uvivu kwa kuwa umeshalizoea.
Huyo kavunja sheria. Sheria ya takwimu, ni takwimu zinazo tolewa na serikali ndio sahihi, na utafiti wowote lazima uidhinishwe na serikali.Source ya hizi data za kushuka ni nini? Kuna utafiti umefanyika au ni Ansbert ndio kaamua kwamba umaarufu umeshuka kwa 41%?
MMH! aibu ya nini umeona? kwa hizo 41%? hatahivo kapendelewa ilitakiwa iwe 10%Aibu nimeona mimi!41%?
Huyo kavunja sheria. Sheria ya takwimu, ni takwimu zinazo tolewa na serikali ndio sahihi, na utafiti wowote lazima uidhinishwe na serikali.
Usituletee data za mkimbizi huyu maana hazina ukweli wowote.
Aaah! kumbe ni Ansbert?
MMH! aibu ya nini umeona? kwa hizo 41%? hatahivo kapendelewa ilitakiwa iwe 10%