Hiyo ni rushwa laivu lakini kwa kuwa Tume ya uchaguzi ni ya magamba,Takukuru ni ya magamba,polisi nayo ni ya magamba basi tutkomaa nao hivyo hivyo na ndo maana tunasema People's Power.bila nguvu ya umma hatuwezi kujikomboa kamwe.
Walikuwa wapi kuyasema hayo kabla ya uchaguzi mdogo,Wasira anaesema atawapa maji kutoka ziwa victoria,Magufuli ameapa kwa jina la mungu kujenga daraja,kisha waseme CCM-Magmba imewajengea daraja wakati hilo lilikuwa tatizo la muda mrefu iweje waje waseme wanalitatua leo.Jimbo la Kishapu kuna barabara inayoanzia kishapu penyewe ilianza kujengwa tangu miaka ya 1981 hivi ni umbali wa maili kumi na saba hadi ishirini haijaisha hadi leo sijui inaendelea kujengwa au ndo ilishasahaulika,lakini leo Mh Nchambi mwenye asili ya kiarabu akijivua gamba na kuitishwa uchaguzi watakwenda na kusema barabara itajengwa,hawa ni waongo,sanaa tupu mpaka wabanwe mbavu ndo waanze kuapa mbele ya wananchi kuwajengea madaraja na kuwapa maji.wanapumlia mashine huko Igunga pamoja na ahadi zao zote.
Hiyo kiukweli ni rushwa laivu hakuna cha kutekeleza sera wala ilani.