Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Leo taarifa ya habari ya ITV imemuonyesha waziri Magufuli akitoa ahadi kibao za ujenzi wa madaraja na makalvati huko igunga akiwa pamoja na naibu waziri wa maji ambaye naye katoa ahadi zake ,
Hivi jamani hawa watu wameenda kama makada wa magamba au mawaziri wa serikali? na kama wameenda kama makda wa CCM je hii si rushwa ya Mchana kweupe?
Hivi jamani hawa watu wameenda kama makada wa magamba au mawaziri wa serikali? na kama wameenda kama makda wa CCM je hii si rushwa ya Mchana kweupe?