dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,410
- 15,995
Waziri wa ardhi anajinasibu kuwa amekataa rushwa ya milion 300 ambayo alikuwa aongwe na mmiliki wa kituo Cha mafuta Cha barrel
Sasa unajiuliza tangu lini CCM viongozi wake wakawa wahadilifu lini wamekuwa wahadilifu ?
HV katk wizara zinazo ongoza kwa rushwa na utapeli si wizara ya ardhi leo anajinasibu na kujipendekeza na Kisha kuchafua watu kuwa wanamuhonga mbna huyu waziri Ni mpumbafu Sana ,,
Nae anajiona msomi wa degree nne kumbe hakun kitu mle amekariri masoma kwa kuhonga wahadhiri ili afaulu .
Katik mawazir ovyo silaa Ni namba Moja Hakuna waziri pale kitendo Cha kumchafua mmiliki wa sheli na kujipendekeza ili upendwe Ni ujinga huo
Hyo wizara itakushinda na utafurunda usipo kuwa na akili timamu Kwanza uteuzi wako ulikosew Sana ulipazwa upewe unaibu waziri kamili hapana kwa kweli
Kama unasema uliongwa ukakataa tutajie zile ulizozipokea Tena mchana kweupe
Leo Tena umetoa boko unataka wamiliki wa kampuni za upimaji wawe na ofc katk majengo ya wizara ardhi HV akili zako Ni sahih Kweli
Sasa unajiuliza tangu lini CCM viongozi wake wakawa wahadilifu lini wamekuwa wahadilifu ?
HV katk wizara zinazo ongoza kwa rushwa na utapeli si wizara ya ardhi leo anajinasibu na kujipendekeza na Kisha kuchafua watu kuwa wanamuhonga mbna huyu waziri Ni mpumbafu Sana ,,
Nae anajiona msomi wa degree nne kumbe hakun kitu mle amekariri masoma kwa kuhonga wahadhiri ili afaulu .
Katik mawazir ovyo silaa Ni namba Moja Hakuna waziri pale kitendo Cha kumchafua mmiliki wa sheli na kujipendekeza ili upendwe Ni ujinga huo
Hyo wizara itakushinda na utafurunda usipo kuwa na akili timamu Kwanza uteuzi wako ulikosew Sana ulipazwa upewe unaibu waziri kamili hapana kwa kweli
Kama unasema uliongwa ukakataa tutajie zile ulizozipokea Tena mchana kweupe
Leo Tena umetoa boko unataka wamiliki wa kampuni za upimaji wawe na ofc katk majengo ya wizara ardhi HV akili zako Ni sahih Kweli