Uchaguzi 2020 Magufuli ataweza himili joto hili hapo Oktoba?

Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Naona mnaendelea kujipa moyo

Safi Sana
 
Hata kwa Lowassa mulisema maneno kama haya lakini jamaa kamaliza muhula.
Kumbuka Membe ni CCM damu. Ipo siku ataludi alikotoka kama Edward. Matter of time.
Zama za Lowassa si hizi!! Kama Lowassa aliyekua hawezi ongea zaidi ya dakika 5 alipata Kura million 6 vipi Membe?
 
Nguvu ya Dola nayo huwa ina mwisho wake. Ni nchi kibao zilikuwa na watawala maharamia wanaotawala kwa mkono wa chuma lakini siku ilipofika Vyombo Vya Dola vilisalimu amri. Nguvu ya umma usicheze nayo. Hata mimi siombei itokee hapa kwetu kwani madhara yake ni makubwa na nchi kuja kurudi tena kwenye mstari inachukuwa muda sana. Kuna wengi (hata mimi) huwa tunaona kama watanzania ni waoga wana na hawawezi kufanya fujo lakini historia inaonyesha watu wa aina hiyo ni wabaya sana na wanalipulika kama moto wa petrol mpaka kila mtu anashangaa.
Tatizo kubwa watu wetu huwa wavivu wakusoma historia.

Wanafikiri sisi tuna dola imara sana kuliko za akina Al Bashir, Mubarak n.k
 
Akili za CHADEMA, 2015 mlikuwa Hadi na Kingunge lakini mjapigwa knock out matata sana, This time hata mje na Nani sa4 Watu wanatoka ibadani JPM kashashinda..



Na niwaeleze tu Hakuna Uchaguzi mwepesi Kama Huu
 
Akili za CHADEMA, 2015 mlikuwa Hadi na Kingunge lakini mjapigwa knock out matata sana, This time hata mje na Nani sa4 Watu wanatoka ibadani JPM kashashinda..



Na niwaeleze tu Hakuna Uchaguzi mwepesi Kama Huu
Sure
 
Akili za CHADEMA, 2015 mlikuwa Hadi na Kingunge lakini mjapigwa knock out matata sana, This time hata mje na Nani sa4 Watu wanatoka ibadani JPM kashashinda..



Na niwaeleze tu Hakuna Uchaguzi mwepesi Kama Huu
Mataga mnamuogopa sana membe hamna hoja zaidi ya kusema yatakua yaleyale ya lowassa....ILA TIME WILL TELL
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
NDOTO ZA MCHANA HIZO,JIPENI MOYO TU. LKN NI HAKI YENU.
 
Kiukweli jamaa ana kazi ngumu sana Octoba na hili analijua vizuri sana ndo maana anahaha kutumia vibanio kila sehemu kupitia polisi, tume, sheria mbovu, ukatili ikiwemo matumizi ya bunduki mapanga, na kila aina ya ghasia ametumia pamoja na kukusanya waganga wa kienyeji kila kona ya nchi, mara ooh umoja wa Waganga na wachawi wa Gambosi wanampongeza sijui nani kwa mapumziko huko burigi.

Mbaya zaidi hapendi chalenji ukimzidi hoja anakimbilia panga yaani kama baba ubaya sasa atakiona cha mtema kuni bila kusahau kibano alichowapa ccm huko dodoma asidhani kwamba amewaweza usaliti utakaotamalaki in 2020 General Election hatasahau maishani mwake.

Kinacho ogopesha ni pale Tundi Antipus Mung'hwai Lissu atakapo panda jukwaani aisee akaazime polisi huko rwanda, Burundi na kwingineko na mwaka huu makombeo yatarusha juu Helmet za mamurere mpaka basi, atavurugika na kuvurugwa push up hazitapigika
Wameshaanza kujihami eti hawataki matusi!!
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Unajifanya kumjua Magu wetu! Hao wezi na makuwadi wa mabeberu watamalizwa hoja zao na msiba Wala hawatafika kwa polepole, sembuse jembe letu!
 
Unajifanya kumjua Magu wetu! Hao wezi na makuwadi wa mabeberu watamalizwa hoja zao na msiba Wala hawatafika kwa polepole, sembuse jembe letu!
Professor lipumba alisema mpingane kwa hoja sio kwa mtutu wala bao la mkono. Aliyechaguliwa apewe
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Acha kumfananisha JPM na Wapigaji hao na waabudu ukoloni.
Wenzenu Ulaya Wanatamani JPM awe wao nyie mnamtaka Membe Muomba neti ili atoe Dhahabu na Tanzanite, Lissu ambaye amewaahidi Wakoloni kuwa Tanzania itakuwa chini ya Himaya ya Wakoloni, Nyarandu Mwizi wa Twiga na Sokwe na nyara za Serikali na mla bata Ulaya kwa kutumia kodi zetu n.k
Tuache kumdhihaki Mungu,
 
Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!

Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.

Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.

Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.

Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.

Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!

Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!

Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Kwahiyo mkuu na wewe umeamua kutulisha matango pori siyo!😁😁, We unafikiri hoja za akina zitto,membe, lissu etc zitawafanya wapiga kura kubadilisha mtazamo!?...heel no wananchi wanaelewa JPM kawatoa wapi na anawapeleka wapi hao upinzani wanafanya kutimiza tu azma ya vyama vingi lakini mshindi na Magufuli.

NOTE: acha kuwaaminisha wanajamii forum utapolo wako huo, chadema hawana lolote..deal done.
 
Back
Top Bottom