XASKEYGY
Senior Member
- Mar 29, 2020
- 127
- 101
Naona mnaendelea kujipa moyoKatika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Safi Sana