Hii ndoto nzuri Sana...Kiukweli jamaa ana kazi ngumu sana Octoba na hili analijua vizuri sana ndo maana anahaha kutumia vibanio kila sehemu kupitia polisi, tume, sheria mbovu, ukatili ikiwemo matumizi ya bunduki mapanga, na kila aina ya ghasia ametumia pamoja na kukusanya waganga wa kienyeji kila kona ya nchi, mara ooh umoja wa Waganga na wachawi wa Gambosi wanampongeza sijui nani kwa mapumziko huko burigi.
Mbaya zaidi hapendi chalenji ukimzidi hoja anakimbilia panga yaani kama baba ubaya sasa atakiona cha mtema kuni bila kusahau kibano alichowapa ccm huko dodoma asidhani kwamba amewaweza usaliti utakaotamalaki in 2020 General Election hatasahau maishani mwake.
Kinacho ogopesha ni pale Tundi Antipus Mung'hwai Lissu atakapo panda jukwaani aisee akaazime polisi huko rwanda, Burundi na kwingineko na mwaka huu makombeo yatarusha juu Helmet za mamurere mpaka basi, atavurugika na kuvurugwa push up hazitapigika
Huyu hata kura za Dr.Slaa hatazipata hata nusu yake.Ukanda unaotoa rais hawamfahamu kabisa.Bro acha kujifariji 2015 Lowasa umarufu wake ndo ulipata hizo kura milioni 6. Membe hawezi mfikia Lowasa. Na kwataarifa yako 2015 Membe ndo angelikuwa anagombea CCM then Chadema Lowassa. Mapema sana Lowasa angelichukua Nchi.
Usiwe unakata tamaa kirahisiTatizo ni lazima waibe kura, ata iweje CCM atapita,, niliamini kwa asilimia kubwa sana CCM itaondoka madarakani 2015 wakat wa Rowassa lakin haikuwa ivyo. i m disappointed kwakwel
Hata mimi limenishangaza naona wanataka kuandaa mashtaka feki.Ndg utashangaa jinsi uchaguzi utakavyokuwa mwepei kama karatasi nimesoma hapo juu polisi wanataka majina ya wagombea wote wa cdm unafikiri ni kwa sababu gani? Kuna uwezekano wagombea wengi wakashindwa kugombea kwa ajili ya kesi au sheria ikawa kwenye jukwaa ukizungumzia miradi una kesi
Hata mimi limenishangaza naona wanataka kuandaa mashtaka feki.Ndg utashangaa jinsi uchaguzi utakavyokuwa mwepei kama karatasi nimesoma hapo juu polisi wanataka majina ya wagombea wote wa cdm unafikiri ni kwa sababu gani? Kuna uwezekano wagombea wengi wakashindwa kugombea kwa ajili ya kesi au sheria ikawa kwenye jukwaa ukizungumzia miradi una kesi
Kweli Sudani hali ilikuwa hivyo. Omar Al-bashir aliwatesa sana wasudani lakini muda ulipofika hadi leo yeye na wapenzi wake wako gerezani.Muda ukifika hakuna wakushindana nao
Aliwajibu nini? Anaweza kusema Rais anajenga stiglers hapa hapa MombaWananchi wa Momba walimwambia Silinde aeleze ya Momba maana Flyoover ni mambo ya Dar
Kiukweli jamaa ana kazi ngumu sana Octoba na hili analijua vizuri sana ndo maana anahaha kutumia vibanio kila sehemu kupitia polisi, tume, sheria mbovu, ukatili ikiwemo matumizi ya bunduki mapanga, na kila aina ya ghasia ametumia pamoja na kukusanya waganga wa kienyeji kila kona ya nchi, mara ooh umoja wa Waganga na wachawi wa Gambosi wanampongeza sijui nani kwa mapumziko huko burigi.
Mbaya zaidi hapendi chalenji ukimzidi hoja anakimbilia panga yaani kama baba ubaya sasa atakiona cha mtema kuni bila kusahau kibano alichowapa ccm huko dodoma asidhani kwamba amewaweza usaliti utakaotamalaki in 2020 General Election hatasahau maishani mwake.
Kinacho ogopesha ni pale Tundi Antipus Mung'hwai Lissu atakapo panda jukwaani aisee akaazime polisi huko rwanda, Burundi na kwingineko na mwaka huu makombeo yatarusha juu Helmet za mamurere mpaka basi, atavurugika na kuvurugwa push up hazitapigika
Naona umeanza siasa 2020 ungelikuwepo toka enzi za Mkapa na Mrema 1995. Usingelisema haya. Katika watu wepesi katika urais ni Tundulisu huyu akipita atachakazwa sana. Urais sio kama ubunge Mkuu. Hata Membe kaamua kwenda ACT sababu hana option. Siasa is not easy kama unavyofikiri. Magufuli atamalizia mhula wake wa pili vizuri tu . Akina Membe wajipange kwa 2025.Haroo mura,
You made my day today!
Mchango wako umenifurahisha sana brother!
Namsikitikia Jiwe safari hii hafurukuti. Huku Membe, pale Tundu Lissu na kule Sharrif Hamad.......!!!!
Huu muziki Jiwe hatauweza....Kuna hatari nchi ikaingia kwenye vurugu kubwa sana iwapo Jiwe atashindwa Uchaguzi huu huenda akatumia ubabe kubakia Madarakani....!!!
Time gonna tell!
Bro usipotoshe polisi anataka majina ya watia nia wa Chadema Wilaya ya Nzega sio Tanzania yote.Ndg utashangaa jinsi uchaguzi utakavyokuwa mwepei kama karatasi nimesoma hapo juu polisi wanataka majina ya wagombea wote wa cdm unafikiri ni kwa sababu gani? Kuna uwezekano wagombea wengi wakashindwa kugombea kwa ajili ya kesi au sheria ikawa kwenye jukwaa ukizungumzia miradi una kesi
Bro usipotoshe polisi anataka majina ya watia nia wa Chadema Wilaya ya Nzega sio Tanzania yote.
Ndo maana nasema watu jukwaani hatuna data sahihi tunashabikia tu ilaukweli tunakuwa hatuna.
Kwa hali hii CCM watashinda kirahisi sana. Maana hasa vijana tunamihemuko mikubwa sana.
We Taga inaonesha hujaelewa hoja..,..!Kwahiyo Mbowe, Lissu, Nyalandu wote wanagombea urais? Hoja ya hovyo.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hata Maalim Seif alikuwa CCM haswaa... mbona hajawahi kurudi huko? Na wako wengi tu wanaojulikana na hawajarudi huko...Hata kwa Lowassa mulisema maneno kama haya lakini jamaa kamaliza muhula.
Kumbuka Membe ni CCM damu. Ipo siku ataludi alikotoka kama Edward. Matter of time.
Hakuna uchaguzi 2020 wewe wala cha joto,uchaguzi ulikuwa 2015 kama CCM walivuka salama wakati huo sioni wa kukitetemesha.Kwanza hao wapinzania kila mtu anaweka mgombea unategemea CDM hawatasimamisha mgombea uraisi?Katika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!
Upinzani wa Tanzania ni kupinga ukweli na siyo kupinga yasiyofaa.
Kwa hali ya siasa ilivyo Tanzania hata vyama vyoooote vya upinzani vikiungana havitamshinda JPM.
Chukulia mfano huu rahisi kabisa. Kwa uchaguzi mkuu wa mwaka2015 ilikuwa ni aibu sana kumuona kinana akiishabikia CCM lakini sasa vijana wengi ni wapenzi wakubwa wa CCM.
Si hivyo tu lakini pia kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ilikuwa ni aibu sana kupita mtaani ukiwa umevaa vazi la CCM lakini kwa sasa vazi la CCM ni dili hata ukipita madukani ndiyo linalouzwa sana zaidi ya mavazi mengine ya vyama vingine.
Kwa hiyo uchaguzi wa mwaka huu ni laini sana kwa JPM zaidi ya uchaguzi wa mwaka 2015
Endelea kupinga mkuuKAMA VILE HUKO MBALI SANA NA TANZANIA.
Kwanza toka 2015 hakuna siasa ya upinzani iliyofanyika hadharani, maanake nini iko mioyoni mwa watu.
sUBIRI kipyele cha siku 90 za kampeni , tutarudi hapa ku comment.
Hawezi hadi pace maker itaishiwa nguvu subirini. Ona upuuzi wa kujiharishia umeanzaKatika chaguzi zenye joto kali na la namna yake ni huu wa 2020!!
Kitakachopandisha joto zaidi ni aina ya mgombea anaetetea kiti chake kupitia CCM yaani John Pombe Magufuli.
Sipati picha combination ya Membe, Lissu, Mbowe, Nyalandu and the like mbele ya JPM.
Tunaomjua JPM ni mtu asiyeziweza hoja wala upinzani. JPM ni mtu mwoga na DHAIFU sana asiye na subira wala utulivu.
Miaka 5 yote ya kupiga kampeni mwenyewe bado hajiamini na mwoga mno.
Joto la mwaka huu tofauti na ilivyotarajiwa litakuwa kali sana huku hoja nzito nzito kutoka upinzani zikitamalaki huku JPM asijue cha kufanya!!
Hoja ya makinikia, wizi wa trillion 1.5, manunuzi ya kifisadi ya ndege, kivuko kibovu, nyumba za serikali kwa mahawara... Stigla na SGR vitatawala majukwaani huku akina Zitto wakijaribu kuwaelewesha watu ni kwa namna gani JPM kupitia ATCL amewalisha watanzania mzigo mzito wa hasara isiyobebeka!
Mbele ya hoja nzito Magufuli ni mwepesi kama karatasi!