Magufuli anavyokerwa na ucheleweshaji kesi Mahakama ya Kazi (Labour Court)

Kisanduku

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
284
482
Mode,

Hii mada ni ya kisheria naomba sana imekuja huku ambako ni maalumu kwa ajili ya sheria na mahakama, maana huku ndiko tatizo linalokoeleweka

////////////////////////////////////////////////////

Kumbe ucheleweshaji wa kesi kwa mahakama ya kazi kunamkera Rais. Katika hotuba yake leo ameahidi kwamba analijua tatizo hili na ndiyo maana ameteua majaji wapya kumi.

Hakika mahakama hii imeemelemewa maana ni mahakama yenye majaji wawili tu nchi nzima yaani Lilian Mashaka na Aisha Nyerere.

Si kwamba majaji hawa wawili hawana uwezo. Hapana. Wana uwezo mpana na haitashangaza mmoja wao au wote wawili siku moja ukasikiwa wamepandishwa kuwa majaji Mahakama ya Rufaa.

Kinachosumbua ni kwamba kesi za ajira zimekuwa nyingi na kuna wanaosema kwamba Mahakama ya Kazi ndiyo ya pili kwa wingi wa kesi nyingi ikifuatiwa na ile ya Ardhi.

Katika hali hii, mtu anayejijua hana haki ataipenda kwa sababu mkosa haki mbinu yake ya kwanza mahakamani huwa ni kuhakikisha anachelewesha kesi ndipo zije mbinu zingine.

Hivyo, kama kuna uonevu wowote kazini, unashindwa kuushughulikia kwani hata ukienda Mahakamani, utshinda kesi lakini ukweli ni kwamba utatumia si chini ya miaka mitatu. Kwa kifupi ni kwamba Mahakama ya Kazi ilikuwa imeshaanza kutokuwa tegemeo.

Siyo kwamba wanahongwa. Bali kesi zinachelewa kiasi cha kukatisha tamaa.

Tunalieleza hili kwa sababu kila mmoja huku mitandaoni ni mfanyakazi, hivyo kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa wa hii Mahakama ya Kazi.

Hata ukichapa kazi vipi, usidhani uko salama. Bado yanaweza kutokea mazingira wenzako wakakuonea wivu na majungu wakakusababisha ukaacha au kufukuzwa kazi kwa uonevu (harrasment).

Sasa katika hali hii, mkombozi au tumaini pekee ilikuwa ni Mahakama ya Kazi (High Court Labor Division). Lakini kama hali ndiyo ile iliyopo la ucheleweshaji wa kesi basi serikali lazima ijue kwamba morali na uzalendo utakosekana.

Hebu tafakari, serikali inapenda kila mmoja awe mzalendo sehemu yake ya kazi. Sasa jiulize, hivi ukiwa mzalendo sana kwenye sehemu yako ya kazi utaishia wapi? Je, utapendwa na mabosi wako? Je, utachukiwa na mabosi wako?

Kw amfano, wafanyakazi waliokuwa kwenye madini wakiona makinikia yakisafirishwa, unadhani hawakuwa wazalendo wakaangali tu yanaibiwa?

Tulihoji wafanyakazi wale wanakuambia makinikia yameibiwa huku wakiona tena wanasema yalikuwa yanalindwa na bunduki ya SMG.

Sasa tukawahoji wafanyakazi wale kwamba kwa nini hakumuwaambia mabosi wakmba wanaharibu uchumi, wakajibu, unataka nifukuzwe kazi, utanilisha wewe?

Wafanyakazi wale wanasema kweli. Hali ni hivyohivyo popote unapofanyia kazi. Mwajiri kama anakwepa kodi na unaona, je, utamwambia kwamba nilipe mshahara wangu vizuri lakini usikwepe kodi. Je, unaweza kufanya hivyo?

Huwezi. Kwa nini? Kwa sababu utafukuzwa kazi. Halafu ukishafukuzwa kazi, serikali haitambui kwamba uligombana na mabosi wako kwa sababu ya uzalendo na kuupigania uchumi wa taifa ili.

Basi, ahueni ingekuwa inakuja kama Mahakama ya Kazi itafanya kesi yako iishe haraka. BAdala yake Mahakama ya Kazi utachelewa kupata haki yako, ingawa utaipata.

Ndugu zangu, je katika hali kama hii, utarudia mchezo wa kuwa mzalendo? Hapana. Utaishia kufanya wanachofanya wenzako. Wenzako watafanya utumbo, tena utumbo unaoiumiza nchi, na wewe itabidi uige tu kuvumilia au na wewe ufanye utumbo ili ulinde ajira yako.

Mtu anaweza kuweka pingamizi (PO) ambalo anajua halina nguvu lakini anajua pingamizi litachukua si chini ya miezi minane. Baada ya PO ndipo inakuja kesi ya msingi inayochukua si chini ya miezi mingine minane hata kama atashindwa.

Huyu tayari ameshafurahi kesi kuchelewesha kwa miezi 16. Athari za kucheleweshwa kesi ni mbaya zaidi kwa mwenye haki na ni furaha kwa anayejijua hana haki.

Hapo ndipo tulipofikia. Inawezekana serikali na Mahakama ya Kazi hili hawajaliona. Sasa leo Rais Magufuli kaliongelea hili kwamba anatambua kuna tatizo la kuchelewesha kesi za ajira.

Mitandao ilipaswa kulijadili hili kwa sababu kila mmoja ataguswa. Tena kipindi hiki vyuma vimekaza kila mmoja ni mhanga unaweza kuathirika na Mahakamani haki ukachelewa kuipata kiasi kwamba unapoipata haina faida tena.

Kama Rais anaona kwamba ameteua majaji kumi, hatudhani kama watapelekwa Mahakama ya Kazi. Tunaamini msongamano uko hata mikoani na makahakama zingine. Rais ikibidi ateue majaji wengine kumi.

Pale Mahakama ya Kazi panahitajika majaji kama saba hivi. Sasa wanapobaki majaji wawili tu, matokeo yake ndiyo haya.

Pamoja na kuw ana hao majaji wawili tu, bado hutokea tatizo jingine analoliweza Mungu tu.

Yupo pale Jaji mmoja mara kadhaa kesi zake zinaahirishwa kwa sababu ya kuumwa au kuhudhuria matibabu hospitalini. N jaji mchapakazi kwelikweli, muadilifu kwelikweli lakini ni kweli pia amekuwa akisumbuliwa na maradhi.

Hata ukimuona unaona dalili za kusumbuliwa maradhi na sanasana unamhurumia tu. Ukimkosa kwa sababu kaenda hospitali, kesi zke zote za siku hiyi zinaahirishwa wakati mwingine kwa miezi miwili. Jaji mgonjwa!

Hatuwezi kuendelea namna hii. Tunasisitiza, pale Labour Court pawe na majaji kama sita hivi siyo wawili tu. Majaji wawili hawawezi kusimamia kesi za ajira za nchi nzima.

Tunashukuru Rais Magufuli kuliona hilo ni tatizo na akalitaja mbele ya Sikukuu ya Wafanyakazi. Tunasubiri Jaji Mkuu alione hilo ni tatizo, tunasubiri Mahamakaa ya Kazi nayo ilione hili ni tatizo.

Na watanzania mitandaoni, tulione hili kuwa ni tatizo na kulipigia kelele. Tumesema, hata ukiishi kitakatifu vipi, bado kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa hivyo tushinikize haki ipatikane mapema tuwe na imani zaidi na Mahakama ya Kazi (Labour Court)

////////////////////////////////////////////////////
Cc

Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke.

 
Jaji Mkuu ameshatoa order kwamba kesi za Labour za mikoani majaji wa High Court watakuwa wanazi-attend. Hii itasaidia majaji wa Mahakama ya kazi kutoenda mikoani tena kwenye kile kipindi kinachoitwa session.

Halafu Mwezi March pale Labour Court kulifanyika kikao cha kupunguza backlog na wameshaanza.

Majaji wa Labour court nao sasa wamepangiwa target na ripoti ya kukimbiza kesi watakuwa wanatoa na zikichelewa watakuwa wanatoa sababu, jambo ambalo lilikuwa halifanyiki huko nyuma hata likifanyika ilikuwa kwa nadra sana.


Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke.
 
Jaji Mkuu ameshatoa order kwamba kesi za Labour za mikoani majaji wa High Court watakuwa wanazi-attend. Hii itasaidia majaji wa Mahakama ya kazi kutoenda mikoani tena kwenye kile kipindi kinachoitwa session.

Halafu Mwezi March pale Labour Court kulifanyika kikao cha kupunguza backlog na wameshaanza.

Majaji wa Labour court nao sasa wamepangiwa target na ripoti ya kukimbiza kesi watakuwa wanatoa na zikichelewa watakuwa wanatoa sababu, jambo ambalo lilikuwa halifanyiki huko nyuma hata likifanyika ilikuwa kwa nadra sana.


Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke.

Itatosha kweli hii
 
Nikupe kongole kwanza mtoa mada kwa kueleza vyema adha na tabu nyingi wanazo zipata watumishi mbalimbali nchini kwa ucheleweshwaji wa kesi kwa sababu ya upungufu wa majaji, kwakuwa no1 naye ni member humu, I wish alione hili bandiko naamini atalifanyia kazi.
 
Kiongozi Kisanduku na MdogoWenu ni ukweli usiopingika kuwa kuna mrundikano wa kesi nyingi katika mahakama kuu divisheni za kazi na Ardhi. Jitihada nyingi zinafanywa na divisheni hizi lakini hazifui dafu, mfano kufanya program maalum kupunguza backlog kama vile BRN n.k. Serikali nayo inatoa support kubwa kwa divisheni hizi, kwanza kwa kutoa pesa za kutosha (kabla ya awamu ya tano kuingia madarakani divisheni hizi, pamoja na ile ya biashar, zilikuwa na Voti yake -yaani fungu lake la bajeti inayojitegeme, kama vile wizara tu). pia ilikuwa ni kawaida kila majaji wapya wakiteuliwa walikuwa wanaanzia kazi kwenye divisheni, hasa divisheni ya Ardhi.

Mipango mingi imefanywa kuwezeshwa kesi zinazopaswa kusikilizwa na majaji wa divisheni kusikilizwa na majaji wote, mfano sheria ile no. 3 ya 2010 ambayo iliruhusu majaji wote wa mahakama kuu kuwa na mamalaka ya kusikiliza kesi za Ardhi. Hata hivyo hii yote haijafua dafu. Kuna kipindi majaji wa mahakama ya Ardhi walikuwa na kesi nyingi, jaji mmoja anakuwa na kesi hadi mia tano (500).

Tatizo hapa sio kuongeza majaji tu. Hili Mh raisi alielewe. Pamoja na kutoa mamalaka kwa majaji wote kusikiliza kezi za kazi au/na ardhi, kuna hatua za msingi zaidi zichukuliwe, kabla ya kuchukua hatua ya kuongoza majaji kama vile ndilo suluhisho wakati kihalisia si suluhisho.

Tatizo kubwa lipo kwa majaji wetu. Kusema kweli majaji wa divisheni ni wavivu sana, tena sana tu. (ukiondoa wale wa divisheni ya biashara). Katika divisheni hizi, majaji wanafanya kazi kwa mazoea na si kwa nia ya kupunguza idadi ya kesi. mawazo yao yote ni safari tu. wako radhi wakae nje ya kituo cha kazi hata kwa miezi mitatu mfululizo kwa sababu ya safari tu. kuna kipindi ilifikia hali hawa majaji wakawa wanawabani majaji wenzao wa mikoani kusikiliza kesi zao, ili tu mda ukifika wapate safari. ilifikia hatua kesi zilikuwa zinakaa zaidi ya miaka mitano zikisubiri kusomwa hukumu tu.

Aina ya majaji wanaowekwa kwenye hizi divisheni (si wote tafadhali) ni aibu. Siamini kama hawajiu sheria na majukumu yao, ila naona ni kujisahau na kujidekeza tu. Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.

Mkakati wa Mh Raisi Magufuli kwa hakika hautafua dafu. Divisheni hizi zinahitaji dawa za kung'oa mzizi wa uvivu/uzembe uliosheheni.
 
Kiongozi Kisanduku na MdogoWenu ni ukweli usiopingika kuwa kuna mrundikano wa kesi nyingi katika mahakama kuu divisheni za kazi na Ardhi. Jitihada nyingi zinafanywa na divisheni hizi lakini hazifui dafu, mfano kufanya program maalum kupunguza backlog kama vile BRN n.k. Serikali nayo inatoa support kubwa kwa divisheni hizi, kwanza kwa kutoa pesa za kutosha (kabla ya awamu ya tano kuingia madarakani divisheni hizi, pamoja na ile ya biashar, zilikuwa na Voti yake -yaani fungu lake la bajeti inayojitegeme, kama vile wizara tu). pia ilikuwa ni kawaida kila majaji wapya wakiteuliwa walikuwa wanaanzia kazi kwenye divisheni, hasa divisheni ya Ardhi.

Mipango mingi imefanywa kuwezeshwa kesi zinazopaswa kusikilizwa na majaji wa divisheni kusikilizwa na majaji wote, mfano sheria ile no. 3 ya 2010 ambayo iliruhusu majaji wote wa mahakama kuu kuwa na mamalaka ya kusikiliza kesi za Ardhi. Hata hivyo hii yote haijafua dafu. Kuna kipindi majaji wa mahakama ya Ardhi walikuwa na kesi nyingi, jaji mmoja anakuwa na kesi hadi mia tano (500).

Tatizo hapa sio kuongeza majaji tu. Hili Mh raisi alielewe. Pamoja na kutoa mamalaka kwa majaji wote kusikiliza kezi za kazi au/na ardhi, kuna hatua za msingi zaidi zichukuliwe, kabla ya kuchukua hatua ya kuongoza majaji kama vile ndilo suluhisho wakati kihalisia si suluhisho.

Tatizo kubwa lipo kwa majaji wetu. Kusema kweli majaji wa divisheni ni wavivu sana, tena sana tu. (ukiondoa wale wa divisheni ya biashara). Katika divisheni hizi, majaji wanafanya kazi kwa mazoea na si kwa nia ya kupunguza idadi ya kesi. mawazo yao yote ni safari tu. wako radhi wakae nje ya kituo cha kazi hata kwa miezi mitatu mfululizo kwa sababu ya safari tu. kuna kipindi ilifikia hali hawa majaji wakawa wanawabani majaji wenzao wa mikoani kusikiliza kesi zao, ili tu mda ukifika wapate safari. ilifikia hatua kesi zilikuwa zinakaa zaidi ya miaka mitano zikisubiri kusomwa hukumu tu.

Aina ya majaji wanaowekwa kwenye hizi divisheni (si wote tafadhali) ni aibu. Siamini kama hawajiu sheria na majukumu yao, ila naona ni kujisahau na kujidekeza tu. Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.

Mkakati wa Mh Raisi Magufuli kwa hakika hautafua dafu. Divisheni hizi zinahitaji dawa za kung'oa mzizi wa uvivu/uzembe uliosheheni.

Inawezekana kili chetu kuhusu hii Mahaka kikasikilizwa kwa maelezo yako.
 
Kiongozi Kisanduku na MdogoWenu
Tatizo kubwa lipo kwa majaji wetu. Kusema kweli majaji wa divisheni ni wavivu sana, tena sana tu. (ukiondoa wale wa divisheni ya biashara). Katika divisheni hizi, majaji wanafanya kazi kwa mazoea na si kwa nia ya kupunguza idadi ya kesi. mawazo yao yote ni safari tu. wako radhi wakae nje ya kituo cha kazi hata kwa miezi mitatu mfululizo kwa sababu ya safari tu. kuna kipindi ilifikia hali hawa majaji wakawa wanawabani majaji wenzao wa mikoani kusikiliza kesi zao, ili tu mda ukifika wapate safari. ilifikia hatua kesi zilikuwa zinakaa zaidi ya miaka mitano zikisubiri kusomwa hukumu tu.

Aina ya majaji wanaowekwa kwenye hizi divisheni (si wote tafadhali) ni aibu. Siamini kama hawajiui sheria na majukumu yao, ila naona ni kujisahau na kujidekeza tu. Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.

Mkakati wa Mh Raisi Magufuli kwa hakika hautafua dafu. Divisheni hizi zinahitaji dawa za kung'oa mzizi wa uvivu/uzembe uliosheheni.

Mkuu,

Hapo kwenye RED maana yake sasa safari za miezi mitatu hazipo na hata safari ya mwezi mmoja hazipo tena na hivyo watakaa ofisini.
 
Mode,

Hii mada ni ya kisheria naomba sana imekuja huku ambako ni maalumu kwa ajili ya sheria na mahakama, maana huku ndiko tatizo linalokoeleweka

////////////////////////////////////////////////////

Kumbe ucheleweshaji wa kesi kwa mahakama ya kazi kunamkera Rais. Katika hotuba yake leo ameahidi kwamba analijua tatizo hili na ndiyo maana ameteua majaji wapya kumi.

Hakika mahakama hii imeemelemewa maana ni mahakama yenye majaji wawili tu nchi nzima yaani Lilian Mashaka na Aisha Nyerere.

Si kwamba majaji hawa wawili hawana uwezo. Hapana. Wana uwezo mpana na haitashangaza mmoja wao au wote wawili siku moja ukasikiwa wamepandishwa kuwa majaji Mahakama ya Rufaa.

Kinachosumbua ni kwamba kesi za ajira zimekuwa nyingi na kuna wanaosema kwamba Mahakama ya Kazi ndiyo ya pili kwa wingi wa kesi nyingi ikifuatiwa na ile ya Ardhi.

Katika hali hii, mtu anayejijua hana haki ataipenda kwa sababu mkosa haki mbinu yake ya kwanza mahakamani huwa ni kuhakikisha anachelewesha kesi ndipo zije mbinu zingine.

Hivyo, kama kuna uonevu wowote kazini, unashindwa kuushughulikia kwani hata ukienda Mahakamani, utshinda kesi lakini ukweli ni kwamba utatumia si chini ya miaka mitatu. Kwa kifupi ni kwamba Mahakama ya Kazi ilikuwa imeshaanza kutokuwa tegemeo.

Siyo kwamba wanahongwa. Bali kesi zinachelewa kiasi cha kukatisha tamaa.

Tunalieleza hili kwa sababu kila mmoja huku mitandaoni ni mfanyakazi, hivyo kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa wa hii Mahakama ya Kazi.

Hata ukichapa kazi vipi, usidhani uko salama. Bado yanaweza kutokea mazingira wenzako wakakuonea wivu na majungu wakakusababisha ukaacha au kufukuzwa kazi kwa uonevu (harrasment).

Sasa katika hali hii, mkombozi au tumaini pekee ilikuwa ni Mahakama ya Kazi (High Court Labor Division). Lakini kama hali ndiyo ile iliyopo la ucheleweshaji wa kesi basi serikali lazima ijue kwamba morali na uzalendo utakosekana.

Hebu tafakari, serikali inapenda kila mmoja awe mzalendo sehemu yake ya kazi. Sasa jiulize, hivi ukiwa mzalendo sana kwenye sehemu yako ya kazi utaishia wapi? Je, utapendwa na mabosi wako? Je, utachukiwa na mabosi wako?

Kw amfano, wafanyakazi waliokuwa kwenye madini wakiona makinikia yakisafirishwa, unadhani hawakuwa wazalendo wakaangali tu yanaibiwa?

Tulihoji wafanyakazi wale wanakuambia makinikia yameibiwa huku wakiona tena wanasema yalikuwa yanalindwa na bunduki ya SMG.

Sasa tukawahoji wafanyakazi wale kwamba kwa nini hakumuwaambia mabosi wakmba wanaharibu uchumi, wakajibu, unataka nifukuzwe kazi, utanilisha wewe?

Wafanyakazi wale wanasema kweli. Hali ni hivyohivyo popote unapofanyia kazi. Mwajiri kama anakwepa kodi na unaona, je, utamwambia kwamba nilipe mshahara wangu vizuri lakini usikwepe kodi. Je, unaweza kufanya hivyo?

Huwezi. Kwa nini? Kwa sababu utafukuzwa kazi. Halafu ukishafukuzwa kazi, serikali haitambui kwamba uligombana na mabosi wako kwa sababu ya uzalendo na kuupigania uchumi wa taifa ili.

Basi, ahueni ingekuwa inakuja kama Mahakama ya Kazi itafanya kesi yako iishe haraka. BAdala yake Mahakama ya Kazi utachelewa kupata haki yako, ingawa utaipata.

Ndugu zangu, je katika hali kama hii, utarudia mchezo wa kuwa mzalendo? Hapana. Utaishia kufanya wanachofanya wenzako. Wenzako watafanya utumbo, tena utumbo unaoiumiza nchi, na wewe itabidi uige tu kuvumilia au na wewe ufanye utumbo ili ulinde ajira yako.

Mtu anaweza kuweka pingamizi (PO) ambalo anajua halina nguvu lakini anajua pingamizi litachukua si chini ya miezi minane. Baada ya PO ndipo inakuja kesi ya msingi inayochukua si chini ya miezi mingine minane hata kama atashindwa.

Huyu tayari ameshafurahi kesi kuchelewesha kwa miezi 16. Athari za kucheleweshwa kesi ni mbaya zaidi kwa mwenye haki na ni furaha kwa anayejijua hana haki.

Hapo ndipo tulipofikia. Inawezekana serikali na Mahakama ya Kazi hili hawajaliona. Sasa leo Rais Magufuli kaliongelea hili kwamba anatambua kuna tatizo la kuchelewesha kesi za ajira.

Mitandao ilipaswa kulijadili hili kwa sababu kila mmoja ataguswa. Tena kipindi hiki vyuma vimekaza kila mmoja ni mhanga unaweza kuathirika na Mahakamani haki ukachelewa kuipata kiasi kwamba unapoipata haina faida tena.

Kama Rais anaona kwamba ameteua majaji kumi, hatudhani kama watapelekwa Mahakama ya Kazi. Tunaamini msongamano uko hata mikoani na makahakama zingine. Rais ikibidi ateue majaji wengine kumi.

Pale Mahakama ya Kazi panahitajika majaji kama saba hivi. Sasa wanapobaki majaji wawili tu, matokeo yake ndiyo haya.

Pamoja na kuw ana hao majaji wawili tu, bado hutokea tatizo jingine analoliweza Mungu tu.

Yupo pale Jaji mmoja mara kadhaa kesi zake zinaahirishwa kwa sababu ya kuumwa au kuhudhuria matibabu hospitalini. N jaji mchapakazi kwelikweli, muadilifu kwelikweli lakini ni kweli pia amekuwa akisumbuliwa na maradhi.

Hata ukimuona unaona dalili za kusumbuliwa maradhi na sanasana unamhurumia tu. Ukimkosa kwa sababu kaenda hospitali, kesi zke zote za siku hiyi zinaahirishwa wakati mwingine kwa miezi miwili. Jaji mgonjwa!

Hatuwezi kuendelea namna hii. Tunasisitiza, pale Labour Court pawe na majaji kama sita hivi siyo wawili tu. Majaji wawili hawawezi kusimamia kesi za ajira za nchi nzima.

Tunashukuru Rais Magufuli kuliona hilo ni tatizo na akalitaja mbele ya Sikukuu ya Wafanyakazi. Tunasubiri Jaji Mkuu alione hilo ni tatizo, tunasubiri Mahamakaa ya Kazi nayo ilione hili ni tatizo.

Na watanzania mitandaoni, tulione hili kuwa ni tatizo na kulipigia kelele. Tumesema, hata ukiishi kitakatifu vipi, bado kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa hivyo tushinikize haki ipatikane mapema tuwe na imani zaidi na Mahakama ya Kazi (Labour Court)

////////////////////////////////////////////////////
Cc

Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke.
Kwa kweli wanajamii wenzangu,kama raisi ameliona hili hata mteule wake pia jaji mkuu ameliona hili,ndio maana katoa waraka kwamba majaji waliopo mikoani washughulikie pia kesi za kazi.Waajiri Mara nyingi wanakurupuka kufukuzisha kazi wafanyakazi wa chini yao bila kufuata taratibu na hutumia upenyo wa kesi kuchukua muda mrefu kutokana na uhaba wa majaji.Kwa kweli nampongeza sana jaji mkuu kwa maamuzi ya haraka na ya busara,waajiri kwa kuchelewesha muda wa kesi limeumiza sana watu wengi has a wanyonge na kwenye kukata tamaa. Mfano ruling ilitolewa Dodoma ya mwajiri mmoja,hakutokea mahakamani ,cha ajabu kaenda Dar kufungua shauri lingine wakati kesi ya msingi Dodoma hajaitekeleza na hakutokea mahakamani.Hivyo basi anatumia uhaba wa majaji,akijua kwamba mpaka waje tens Dodoma ni muda mrefu sana toka2017 na kweli majaji hawajaja na kesi huko Dar imekuwa ikiahilishwa kila siku kama Mara tano Sasa.Nimuombe jaji mkuu na wote wa mahakama na wasajili,ili mrundikano wa kesi uishe,utekelezaji wa amri usimamiwe kwa hali ya juu na waajiri na waajiri wa wasimamie sheria kwa HAKI,bila kuoneana.Ahsante.
 
Mode,

Hii mada ni ya kisheria naomba sana imekuja huku ambako ni maalumu kwa ajili ya sheria na mahakama, maana huku ndiko tatizo linalokoeleweka

////////////////////////////////////////////////////

Kumbe ucheleweshaji wa kesi kwa mahakama ya kazi kunamkera Rais. Katika hotuba yake leo ameahidi kwamba analijua tatizo hili na ndiyo maana ameteua majaji wapya kumi.

Hakika mahakama hii imeemelemewa maana ni mahakama yenye majaji wawili tu nchi nzima yaani Lilian Mashaka na Aisha Nyerere.

Si kwamba majaji hawa wawili hawana uwezo. Hapana. Wana uwezo mpana na haitashangaza mmoja wao au wote wawili siku moja ukasikiwa wamepandishwa kuwa majaji Mahakama ya Rufaa.

Kinachosumbua ni kwamba kesi za ajira zimekuwa nyingi na kuna wanaosema kwamba Mahakama ya Kazi ndiyo ya pili kwa wingi wa kesi nyingi ikifuatiwa na ile ya Ardhi.

Katika hali hii, mtu anayejijua hana haki ataipenda kwa sababu mkosa haki mbinu yake ya kwanza mahakamani huwa ni kuhakikisha anachelewesha kesi ndipo zije mbinu zingine.

Hivyo, kama kuna uonevu wowote kazini, unashindwa kuushughulikia kwani hata ukienda Mahakamani, utshinda kesi lakini ukweli ni kwamba utatumia si chini ya miaka mitatu. Kwa kifupi ni kwamba Mahakama ya Kazi ilikuwa imeshaanza kutokuwa tegemeo.

Siyo kwamba wanahongwa. Bali kesi zinachelewa kiasi cha kukatisha tamaa.

Tunalieleza hili kwa sababu kila mmoja huku mitandaoni ni mfanyakazi, hivyo kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa wa hii Mahakama ya Kazi.

Hata ukichapa kazi vipi, usidhani uko salama. Bado yanaweza kutokea mazingira wenzako wakakuonea wivu na majungu wakakusababisha ukaacha au kufukuzwa kazi kwa uonevu (harrasment).

Sasa katika hali hii, mkombozi au tumaini pekee ilikuwa ni Mahakama ya Kazi (High Court Labor Division). Lakini kama hali ndiyo ile iliyopo la ucheleweshaji wa kesi basi serikali lazima ijue kwamba morali na uzalendo utakosekana.

Hebu tafakari, serikali inapenda kila mmoja awe mzalendo sehemu yake ya kazi. Sasa jiulize, hivi ukiwa mzalendo sana kwenye sehemu yako ya kazi utaishia wapi? Je, utapendwa na mabosi wako? Je, utachukiwa na mabosi wako?

Kw amfano, wafanyakazi waliokuwa kwenye madini wakiona makinikia yakisafirishwa, unadhani hawakuwa wazalendo wakaangali tu yanaibiwa?

Tulihoji wafanyakazi wale wanakuambia makinikia yameibiwa huku wakiona tena wanasema yalikuwa yanalindwa na bunduki ya SMG.

Sasa tukawahoji wafanyakazi wale kwamba kwa nini hakumuwaambia mabosi wakmba wanaharibu uchumi, wakajibu, unataka nifukuzwe kazi, utanilisha wewe?

Wafanyakazi wale wanasema kweli. Hali ni hivyohivyo popote unapofanyia kazi. Mwajiri kama anakwepa kodi na unaona, je, utamwambia kwamba nilipe mshahara wangu vizuri lakini usikwepe kodi. Je, unaweza kufanya hivyo?

Huwezi. Kwa nini? Kwa sababu utafukuzwa kazi. Halafu ukishafukuzwa kazi, serikali haitambui kwamba uligombana na mabosi wako kwa sababu ya uzalendo na kuupigania uchumi wa taifa ili.

Basi, ahueni ingekuwa inakuja kama Mahakama ya Kazi itafanya kesi yako iishe haraka. BAdala yake Mahakama ya Kazi utachelewa kupata haki yako, ingawa utaipata.

Ndugu zangu, je katika hali kama hii, utarudia mchezo wa kuwa mzalendo? Hapana. Utaishia kufanya wanachofanya wenzako. Wenzako watafanya utumbo, tena utumbo unaoiumiza nchi, na wewe itabidi uige tu kuvumilia au na wewe ufanye utumbo ili ulinde ajira yako.

Mtu anaweza kuweka pingamizi (PO) ambalo anajua halina nguvu lakini anajua pingamizi litachukua si chini ya miezi minane. Baada ya PO ndipo inakuja kesi ya msingi inayochukua si chini ya miezi mingine minane hata kama atashindwa.

Huyu tayari ameshafurahi kesi kuchelewesha kwa miezi 16. Athari za kucheleweshwa kesi ni mbaya zaidi kwa mwenye haki na ni furaha kwa anayejijua hana haki.

Hapo ndipo tulipofikia. Inawezekana serikali na Mahakama ya Kazi hili hawajaliona. Sasa leo Rais Magufuli kaliongelea hili kwamba anatambua kuna tatizo la kuchelewesha kesi za ajira.

Mitandao ilipaswa kulijadili hili kwa sababu kila mmoja ataguswa. Tena kipindi hiki vyuma vimekaza kila mmoja ni mhanga unaweza kuathirika na Mahakamani haki ukachelewa kuipata kiasi kwamba unapoipata haina faida tena.

Kama Rais anaona kwamba ameteua majaji kumi, hatudhani kama watapelekwa Mahakama ya Kazi. Tunaamini msongamano uko hata mikoani na makahakama zingine. Rais ikibidi ateue majaji wengine kumi.

Pale Mahakama ya Kazi panahitajika majaji kama saba hivi. Sasa wanapobaki majaji wawili tu, matokeo yake ndiyo haya.

Pamoja na kuw ana hao majaji wawili tu, bado hutokea tatizo jingine analoliweza Mungu tu.

Yupo pale Jaji mmoja mara kadhaa kesi zake zinaahirishwa kwa sababu ya kuumwa au kuhudhuria matibabu hospitalini. N jaji mchapakazi kwelikweli, muadilifu kwelikweli lakini ni kweli pia amekuwa akisumbuliwa na maradhi.

Hata ukimuona unaona dalili za kusumbuliwa maradhi na sanasana unamhurumia tu. Ukimkosa kwa sababu kaenda hospitali, kesi zke zote za siku hiyi zinaahirishwa wakati mwingine kwa miezi miwili. Jaji mgonjwa!

Hatuwezi kuendelea namna hii. Tunasisitiza, pale Labour Court pawe na majaji kama sita hivi siyo wawili tu. Majaji wawili hawawezi kusimamia kesi za ajira za nchi nzima.

Tunashukuru Rais Magufuli kuliona hilo ni tatizo na akalitaja mbele ya Sikukuu ya Wafanyakazi. Tunasubiri Jaji Mkuu alione hilo ni tatizo, tunasubiri Mahamakaa ya Kazi nayo ilione hili ni tatizo.

Na watanzania mitandaoni, tulione hili kuwa ni tatizo na kulipigia kelele. Tumesema, hata ukiishi kitakatifu vipi, bado kila mmoja wetu ni mtuhumu au mtuhumiwa mtarajiwa hivyo tushinikize haki ipatikane mapema tuwe na imani zaidi na Mahakama ya Kazi (Labour Court)

////////////////////////////////////////////////////
Cc

Petro E. Mselewa, Mtendaji wa kaya, Skillionare, Rola, Mushobozi, Skilionare, Dangote the advocate, Bikra, Mtambuzi, Gaijin, Mwita Maranya, suluta, othuman dan fodio, Amos Enock, stroke.

We jamaa umeongea points tupu kuanzia mwanzo hadi mwisho I wish mh, Rais angepitia hili bandiko aone jinsi watu wanavyo umizwa huko makazini na mabosi wao kwa kusimamia haki na kuonesha uzalendo kwa Taifa lao, lkn matokeo yake huishia kufukuzwa kazi na waajiri wao nahili hupelekea hata waliobaki kuwa watazamaji kwa maovu yanayotendeka ktk nchi yetu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
We jamaa umeongea points tupu kuanzia mwanzo hadi mwisho I wish mh, Rais angepitia hili bandiko aone jinsi watu wanavyo umizwa huko makazini na mabosi wao kwa kusimamia haki na kuonesha uzalendo kwa Taifa lao, lkn matokeo yake huishia kufukuzwa kazi na waajiri wao nahili hupelekea hata waliobaki kuwa watazamaji kwa maovu yanayotendeka ktk nchi yetu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Tena mbaya zaidi hawa waajiri wanajua Sana kwambba ni waonevu, wakiona wanatembelewa na kamati za bunge wamekuwa na ushiriano mkubwa ili kuficha maovu yao, niziombe kamati zisiishie kukutana na waajiri tu zichuke hadi chini kwa wafanyakazi ili wajionee kinachoendelea. Kwa makampuni ambayo serikali ina hisa wangepata gawio kubwa kuliko kiduchu wanachokionyesha, sababu kuu ni huko kuwafukuza wanaojituma kusiko kwa haki. Muheshiwa raisi lione hili ili gawio liongezeke tuchape kazi kwa moyo.
 
We jamaa umeongea points tupu kuanzia mwanzo hadi mwisho I wish mh, Rais angepitia hili bandiko aone jinsi watu wanavyo umizwa huko makazini na mabosi wao kwa kusimamia haki na kuonesha uzalendo kwa Taifa lao, lkn matokeo yake huishia kufukuzwa kazi na waajiri wao nahili hupelekea hata waliobaki kuwa watazamaji kwa maovu yanayotendeka ktk nchi yetu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Tena mbaya zaidi hawa waajiri wanajua Sana kwambba ni waonevu, wakiona wanatembelewa na kamati za bunge wamekuwa na ushiriano mkubwa ili kuficha maovu yao, niziombe kamati zisiishie kukutana na waajiri tu zichuke hadi chini kwa wafanyakazi ili wajionee kinachoendelea. Kwa makampuni ambayo serikali ina hisa wangepata gawio kubwa kuliko kiduchu wanachokionyesha, sababu kuu ni huko kuwafukuza wanaojituma kusiko kwa haki. Muheshiwa raisi lione hili ili gawio liongezeke tuchape kazi kwa moyo.
 
Tena mbaya zaidi hawa waajiri wanajua Sana kwambba ni waonevu, wakiona wanatembelewa na kamati za bunge wamekuwa na ushiriano mkubwa ili kuficha maovu yao, niziombe kamati zisiishie kukutana na waajiri tu zichuke hadi chini kwa wafanyakazi ili wajionee kinachoendelea. Kwa makampuni ambayo serikali ina hisa wangepata gawio kubwa kuliko kiduchu wanachokionyesha, sababu kuu ni huko kuwafukuza wanaojituma kusiko kwa haki. Muheshiwa raisi lione hili ili gawio liongezeke tuchape kazi kwa moyo.
Naimani mh Rais kupitia watu wake wazee wa kunusanusa wataliona hili na kumfikishia ujumbe ili haki iweze kutendeka

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Naimani mh Rais kupitia watu wake wazee wa kunusanusa wataliona hili na kumfikishia ujumbe ili haki iweze kutendeka

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Itakuwa la maana sana mkuu, mbaya zaidi wanusemi kwamba watakata rufaa hadi wenye kesi nao wafe na kweli mmoja ametangulia, na hawa ni watanzania wenzetu, Mungu yupo watayaona pia.
 
Pathetic...

Analalamika kesi kucheleweshwa wakati wanaochelewesha kesi mostly kwenye Criminal ni hao MaProsecutor ambao kila siku upelelezi haujakamilika afu wengi wao ni vilaza kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi Kisanduku na MdogoWenu ni ukweli usiopingika kuwa kuna mrundikano wa kesi nyingi katika mahakama kuu divisheni za kazi na Ardhi. Jitihada nyingi zinafanywa na divisheni hizi lakini hazifui dafu, mfano kufanya program maalum kupunguza backlog kama vile BRN n.k. Serikali nayo inatoa support kubwa kwa divisheni hizi, kwanza kwa kutoa pesa za kutosha (kabla ya awamu ya tano kuingia madarakani divisheni hizi, pamoja na ile ya biashar, zilikuwa na Voti yake -yaani fungu lake la bajeti inayojitegeme, kama vile wizara tu). pia ilikuwa ni kawaida kila majaji wapya wakiteuliwa walikuwa wanaanzia kazi kwenye divisheni, hasa divisheni ya Ardhi.

Mipango mingi imefanywa kuwezeshwa kesi zinazopaswa kusikilizwa na majaji wa divisheni kusikilizwa na majaji wote, mfano sheria ile no. 3 ya 2010 ambayo iliruhusu majaji wote wa mahakama kuu kuwa na mamalaka ya kusikiliza kesi za Ardhi. Hata hivyo hii yote haijafua dafu. Kuna kipindi majaji wa mahakama ya Ardhi walikuwa na kesi nyingi, jaji mmoja anakuwa na kesi hadi mia tano (500).

Tatizo hapa sio kuongeza majaji tu. Hili Mh raisi alielewe. Pamoja na kutoa mamalaka kwa majaji wote kusikiliza kezi za kazi au/na ardhi, kuna hatua za msingi zaidi zichukuliwe, kabla ya kuchukua hatua ya kuongoza majaji kama vile ndilo suluhisho wakati kihalisia si suluhisho.

Tatizo kubwa lipo kwa majaji wetu. Kusema kweli majaji wa divisheni ni wavivu sana, tena sana tu. (ukiondoa wale wa divisheni ya biashara). Katika divisheni hizi, majaji wanafanya kazi kwa mazoea na si kwa nia ya kupunguza idadi ya kesi. mawazo yao yote ni safari tu. wako radhi wakae nje ya kituo cha kazi hata kwa miezi mitatu mfululizo kwa sababu ya safari tu. kuna kipindi ilifikia hali hawa majaji wakawa wanawabani majaji wenzao wa mikoani kusikiliza kesi zao, ili tu mda ukifika wapate safari. ilifikia hatua kesi zilikuwa zinakaa zaidi ya miaka mitano zikisubiri kusomwa hukumu tu.

Aina ya majaji wanaowekwa kwenye hizi divisheni (si wote tafadhali) ni aibu. Siamini kama hawajiu sheria na majukumu yao, ila naona ni kujisahau na kujidekeza tu. Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.

Mkakati wa Mh Raisi Magufuli kwa hakika hautafua dafu. Divisheni hizi zinahitaji dawa za kung'oa mzizi wa uvivu/uzembe uliosheheni.

Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.- TUNAJADILI MAHAKAMA YA KAZI YENYE MAJAJI WAWILI WACHAPAKAZI NA WAADILIFU! Haya yako sijui umeyatoa wapi!
 
Kwa kudokeza taarifa za ndani tu ni kwamba majaji hawa (wa divisheni) wanapenda sana makundi, na wana jina lao wanajiita (wanatambulika kwa wenzao). Wana majungu balaa. wakati wa chakula/chai wanakusanyika pamoja, watapiga soga na umbea kwa masaa mawili hadi matatu.- TUNAJADILI MAHAKAMA YA KAZI YENYE MAJAJI WAWILI WACHAPAKAZI NA WAADILIFU! Haya yako sijui umeyatoa wapi!
Bora sasa hivi jaji mkuu alitoa waraka wa majaji wote wa mahakama za mikoani washughulie kesi zote ili kupunguza msongamano hongera jaji mkuu, bila kujali umeshinda yote ni haki, lakini kwa wakati.
 
Unaanzia CMA ipo kila mkoa.
nashukuru ndugu. shauri lenyewe liko hivi :lilianzia TSD, likaja tume ya utumishi wa umma. Kattika kutafuta nafuu ya haraka nikapeleka shauri CMA. Mwajiri hakuhudhuria ingawa alikuwa na taarifa.uamuzi uliotoka hapo ni kwamba nipeleke kwa rais ikulu. Nilifanya ivyo. Ikulu wmekataa rufaa yangu. Katika kuuliza naambiwa mwenye mamlaka ya kutengua au kutotengua maamuzi ya rais ni mahakama kuu kitengo cha kazi.ndo najiuliza naweza pata hiyo huduma mahakama ya wilaya?
 
nashukuru ndugu. shauri lenyewe liko hivi :lilianzia TSD, likaja tume ya utumishi wa umma. Kattika kutafuta nafuu ya haraka nikapeleka shauri CMA. Mwajiri hakuhudhuria ingawa alikuwa na taarifa.uamuzi uliotoka hapo ni kwamba nipeleke kwa rais ikulu. Nilifanya ivyo. Ikulu wmekataa rufaa yangu. Katika kuuliza naambiwa mwenye mamlaka ya kutengua au kutotengua maamuzi ya rais ni mahakama kuu kitengo cha kazi.ndo najiuliza naweza pata hiyo huduma mahakama ya wilaya?
Mi kwa uelewa wangu ni kwamba pamoja na kwamba sio mwanasheria kesi ikienda Cma ikishindikana inaenda mahakama kuu ya kazi.
 
Back
Top Bottom