Huyu mtu anaogopa hata Lugha ya Taifa!. Jee kweli atawezaje kulitumikia Taifa ?
haya Polisi kamata Magufuli peleka BBC akahojiwe huko....
Nmefurah angalau kusikia kwa masikio yangu kuwa BBC wamejitahid kumtafuta lkn anajifanya nt reachable, otherwise wangeendelea kutudanganya hawa fisiemu
Na ndio message aliyotaka kudeliver Kikeke. Kama kungekuwa na means za kuwacorrupt BBC hawa jamaa wangefanya fasta (kama JK alivyostage Q&A session na media mwaka 2010)
Kila siku nasema elimu ya Tanzania iko ahera. Amefikaje ngazi ya PHD huyu kilaza? Hajakaa kisomi kabisa. Na kama manamba.
Sipati picha anaongoza kikao EAC.
Au anaenda kuhutubia UN.
Au mabalozi wanakuja kujitambulisha kwake.
Teh teh teh
Zaidi ya Barabara hakuna kingine anachojua.
Huko BBC ataleta aibu tupu, bora asiende.
Tuko busy na kampeni
Kuna baadhi ya courses pale UDSM hawafanyi presentation ya progress report kwa level ya Masters na PHD. Wahuni wachache hutumia mwanya huo kufanyiwa kazi. Bila shaka PHD ya Mr. Sintowaangusha ilipatikana kwa style hiyo.