Elections 2015 Magufuli anatukwepa - BBC Swahili

sio lazima kuhojiwa ili iweje na itabadilisha nn akihojiwa, achene amalize muda wake afanye anayoyaamini then tutachagua rais mwingine anayependa kuzurura huko Uraya, mbona kama misaada wanaleta bila ya yeye kuifuata, musitake kumuahibisha na vingereza vyenu vya Academy school mtoto wa mkulima kasoma st. Kayumba
 
Back
Top Bottom