uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Hanahahnaan hapo ni kiswahili anakacha ,ingekuwa ni ligha ya malaika ingekuwaje?
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Atasema I won plesidential errection fairKuhutubia UN inaweza isiwe ishu. Si atakuwa anasoma tu kwenye karatasi. Halafu na alivyo hodari wa kukariri anaweza akaikariri hata robo tatu nzima ya hotuba.
Kasheshe akiwa sehemu kama Davos kwenye yale ma panel discussions ambapo mtu anakuwa hasomi hotuba.
Je, ataongea Kiswahili na kutumia mkalimani au ataongea Kiingereza?
Mimi natabari atachomoa kabisa kwenda huko Davos.
Teh teh teh.....
Labda anaogopa watamchenjia katikati ya mahojiano na kuchomekea Kizungu:wink:.
Huwa najiuliza aliipataje jiyo PhD yake? Aliiteteaje? Na kwa lugha gani?
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Atasema I won plesidential errection fair
Na idadi ya samaki na mifugo yote Tanzania.
Utasikia
"Kwa sasa tumejenga kilomita za barabara elfu tano mianane themaniilni na sita katika mwaka huu wa fedha"
Kila siku nasema elimu ya Tanzania iko ahera. Amefikaje ngazi ya PHD huyu kilaza? Hajakaa kisomi kabisa. Na kama manamba.
Kuhutubia UN inaweza isiwe ishu. Si atakuwa anasoma tu kwenye karatasi. Halafu na alivyo hodari wa kukariri anaweza akaikariri hata robo tatu nzima ya hotuba.
Kasheshe akiwa sehemu kama Davos kwenye yale ma panel discussions ambapo mtu anakuwa hasomi hotuba.
Je, ataongea Kiswahili na kutumia mkalimani au ataongea Kiingereza?
Mimi natabari atachomoa kabisa kwenda huko Davos.
Kila siku nasema elimu ya Tanzania iko ahera. Amefikaje ngazi ya PHD huyu kilaza? Hajakaa kisomi kabisa. Na kama manamba.
Itabidi huyo atakayekwenda kumkamata naye awe amejiandaa vyema, kwa kuwa si mnajua huyo jamaa ni mtu wa ma-pushup kwa hiyo yuko fit sana?Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Waombeni bbc wawapatie maswali ili mumsaidie Dr. Pombe na Magufuli kujitayarisha kujibu.Tuko busy na kampeni