asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Aibu sana kwa Magufuli , hlf hapo tunadaiwa madeni makubwa kwaajili ya hizo barabara.Hata hiyo heshima hana tunadaiwa na wakandarasi wa ujenzi 5.3 Trilion na riba 124.8billion kutokana na maamuzi ya kukurupuka hana lolote ..