Magufuli anapita Moshi kwa shida

Magufuli anapita Moshi kwa shida

Kwanini atupie picha wakati mkutano ulikua live hata wa Moshi uko live TBC na Star tv.

Watoto wa masaki bana full ducks eeeh!!
Tuko kajamba nani huku umeme tuliuona siku Pombe ilipopita hapa
 
umbea si kazi kazi kusutwaaaa mwanaume mbea wewe mm nko apo stand kuu moshi hamna maneno kama unayosemaaa mwogope Mungu umetungaaa
 
Hivi wanapita KB tena kumuungisha Mangi au wamemtema?

Wanafanya fujo sana, hakuna mtu anawataka kwenye baa yake.Majuzi alinunulia watu pombe chocho,jamaa walivyolewa wakaanza kusema peoplesssss!
Mabaunsa wanaleta shida!
 
Wanafanya fujo sana, hakuna mtu anawataka kwenye baa yake.Majuzi alinunulia watu pombe chocho,jamaa walivyolewa wakaanza kusema peoplesssss!
Mabaunsa wanaleta shida!

Hahahahaha!!
Yahaya anapata shida sana hapo ughaibuni.

Ni kama wale wa bus stand kuu alipojidai anaenda kunywa nao gari ya CDM kupita watu wote peeeoplessss.

Yahaya akajikuta yuko alone akaishia kuwaweka sero wale jamaa na ndiyo akawa ameharibu zaidi ikabidi akawatoe tena
 
Back
Top Bottom