Magufuli anapita Moshi kwa shida

Magufuli anapita Moshi kwa shida

Paul Alex

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2012
Posts
4,346
Reaction score
9,846
Wadau nimetokea maeneo ya stands kuu Moshi.
Barabara ya kati ya polisi central ilikuwa imefungwa ili kumuwezesha Magufuli apite Maeneo ya stand.

Ila Vijana wote stand na kinamama nasikia wakisema," Magufuli akipita hapa tunamzomea"

Naona Team yake imesanda wakaamua kupita chocho ili wafike kiwanjani!

Ni hayo tu kwa sasa!
Asante!
 
Burudani zinaendelea uwanja wa Mashujaa njoo mkuu ufurahie maana hawa Wasanii ni adimu sana Moshi
 
Burudani zinaendelea uwanja wa Mashujaa njoo mkuu ufurahie maana hawa Wasanii ni adimu sana Moshi

Kama mimi ni Magufuli naachana na Kampeni!
Kwanza alikuwa na heshima yake nzuri tu!

Anajua watu wanafuata wasanii, angejua hata hapa stand angejichanganya katikati ya wasanii!
 
Huyo jamaa kaskazini angepapotezea kabisa,maana anakutana na aibu sana,hivi hana washauri?
 
yeah amechezewa oddside trick ila moshi hakuna wa kupanda lori utaona kitakachotokea huko
 
Kama mimi ni Magufuli naachana na Kampeni!
Kwanza alikuwa na heshima yake nzuri tu!

Anajua watu wanafuata wasanii, angejua hata hapa stand angejichanganya katikati ya wasanii!

Hata hiyo heshima hana tunadaiwa na wakandarasi wa ujenzi 5.3 Trilion na riba 124.8billion kutokana na maamuzi ya kukurupuka hana lolote ..
 
Wanataka kufanya kama walivyofanya vijana wa uyole mbeya?

Tanzania imebadilika sn, nakwambia magari yasombe yasisombe ccm ina kazi ngumu ila vijana nendeni bila kiingilio mmuone Diamond na waigizaji ila tarehe 25/10/2015 tumieni kalamu zenu kuiondoa ccm ili tuone wengine nao.
 
Huyo jamaa kaskazini angepapotezea kabisa,maana anakutana na aibu sana,hivi hana washauri?

Huu ukanda wenu ndio unaosababisha tunasema ukiwa ni mkusanyiko wa genge la wahuni wanaotumbulia macho ya tamaa maliasili zetu.

Ikulu mtaishia kwenda kunywa chai tu kwa mwaliko wa rais na hivi Kikwete anamaliza muda wake mtakuwa mnapita njia tu.
 
Huu ukanda wenu ndio unaosababisha tunasema ukiwa ni mkusanyiko wa genge la wahuni wanaotumbulia macho ya tamaa maliasili zetu.

Ikulu mtaishia kwenda kunywa chai tu kwa mwaliko wa rais na hivi Kikwete anamaliza muda wake mtakuwa mnapita njia tu.

...unaliwa; siku zote wewe ni gamba, acha utoto na kujitekenya, ukiwa ni familia yenu mliyofiwa na muwekezaji aliyekua anawalisha..
 
Moshi ninawakubali ni watu hatari sana kwa shetani ccm!
 
Back
Top Bottom