Magufuli anapita Moshi kwa shida

Magufuli anapita Moshi kwa shida

moshi vijijin walichelewa kuamka ila sasa wameamka kuliko hata moshi mjini na hao wa moshi vijijini hatariiiiiiiiiii
 
Hivi kweli uko moshi au unaota wewe mtoa post,unatudanganya sisi tuliopo moshi,uzushi na uzandiku
 
arumeru kafunika mbaya;
Moshi , pamesha tapika
 
Huyo jamaa kaskazini angepapotezea kabisa,maana anakutana na aibu sana,hivi hana washauri?

Hujaona nyomi ya jana Arusha, leo Arumeru mashariki na boma kwa mbowe? unadhani ccm kama ukawa ndo maana hamjasimamisha wagombea ubunge nchi nzima kwa uwoga wenu na itawacost sana
 
hivi hawa watu ninsowaona hapa moshi mjini na wale wa jana pale arusha wametokea wapi na wamekuja na usafiri gani kwani huku nasikia ccm ilishakufa
 
Huyu jamaa anawakati mgumu mosha keshazomewa kalowa sasa maguf leo ilikuwa akutane na kadhia hiyo but kapitia chocho kaibukia uwanjani kero hatutaki
 
Magufuli Hoyeeeeeee
 

Attachments

  • 1444221556440.jpg
    1444221556440.jpg
    19.2 KB · Views: 490
  • 1444221683229.jpg
    1444221683229.jpg
    12.3 KB · Views: 461
Hapa boma kazomewa ile mbaya hadi police wamekuja kuokoa jahaz ndo jamaa wakapita


eti unasifia kabisa,, "hapa moshi kazomewa" hizo ni dalili za uoga na kutokujiamini, maana tarehe ya kupiga kura ipo ni 25/10/15 wewe unamzomea mtu na unaona umemkomoa,kwanini hasira zako usiende kuzimalizia kwenye box la kura?? maana yake ni kwamba kura zenu hazitoshi na hilo mnalijua ndio maana mmeamua kuzomea maana hakuna namna mnabidi mpunguze stress zenu kwa staili hiyo kwakuwa mnajua 25october mnanyolewa na hamna la kufanya...
siasa za propaganda haziwafikishi popote zaidi ya kuua chama chenu baada ya october na kumpa umaarufu ZZK na ACT yake... Poleni sana na mle mshibe ili mpate nguvu za kuzomea!!!
 
Back
Top Bottom