kisa tu aliamua kuzuia vibali pasipo kutafakari wala kuitathimini wala kushauriana na bodi ya sukari , sasa kuna Richmond ya sukari inakuja mda si mrefu si unajua wajanja hupenya pale pale kwenye uhaba .sukari kilo 6000/=
Meli ya uvuvi ya China mpaka Leo inalipwa na Serikali .Fidia zitalipwa sana tu.
Ndio maana juzi Makamu wa Rais, Mh Samia aliwaasa Wakuu wa Mikoa na DC kufuata sheria ya utumishi wa umma wanapofukuza/kusimamisha watumishi kazi. Mama wa watu amestuka, na ameamua kunawa mikono.
Mwisho wa siku kitakachotokea ni kwamba, watu wameiba na fidia wanalipwa.
hajitambui huyo!wewe ndiyo umechuja, trust me
Sukari ni hewa?!?!?! hebu tafuta mbadala maisha yaende tuko kwenye mageuzi. Vumilia shida ya mwaka mmoja ufurahie maisha miaka 9!kisa tu aliamua kuzuia vibali pasipo kutafakari wala kuitathimini wala kushauriana na bodi ya sukari , sasa kuna Richmond ya sukari inakuja mda si mrefu si unajua wajanja hupenya pale pale kwenye uhaba .
Kuna sababu kama 4 hivi naziona ndizo zinazomfanya achuje haraka hivi:
1. Kushindwa kwake kudili na majipu (wala rushwa wakubwa) na kubaki kuangaika na kesi za kuku. Hii imejionyesha kwa yeye kunywea kwenye swala la Lugumi, Wezi wa Escrow (kutekeleza maamuzi ya Bunge), kuendelea kukumbatia viongozi majizi, HSC na mambo kama hayo.
2. Kuendesha nchi pasipo kufuata utawala wa sheria. Anajiona yeye ndio ultimate decision maker wa kila kitu na hakuna anayejua zaidi yake. Sasa watu wameamua kumuacha afanye kazi zoootee peke yake.
3. Nchi kukosa muelekeo wa kiuchumi. Hii inapelekea kuwa na hali ngumu pasipo sababu. Bado anaangaika na kodi za machinga na mama Ntilie, wakati kule kwenye madini wanawaanchia wazungu wanachukua madhahabu na Almasi bureee kabisa. Hana vyanzo vipya vya kodi zaidi ya kumbana mwananchi wa kawaidi.
4. Kunyima Uhuru wa habari. Hii imejionyeshwa kupitia kukataa kuonyesha Bunge Live kwa sababu ya kuogopa wananchi kuona serikali yake ikikosolewa. Yeye anataka kusifiwa tu, ukimkosoa ni shida.
Umeona eeeHata viwanda huwa vinasimamisha uzalishaji kupisha matengenezo na kusubiri msimu mpya. Anaandika script
There's a line you can't cross ( in kagame's voice)ANAPOFUMBIA MACHO "LUGUMI" na "ESCROW"
IT FINISH HIS .......!?/
LETS QUESTION WHAT HE FEAR?as a nation hero against corruption's.
Umenena vema mkuuKuna sababu kama 4 hivi naziona ndizo zinazomfanya achuje haraka hivi:
1. Kushindwa kwake kudili na majipu (wala rushwa wakubwa) na kubaki kuangaika na kesi za kuku. Hii imejionyesha kwa yeye kunywea kwenye swala la Lugumi, Wezi wa Escrow (kutekeleza maamuzi ya Bunge), kuendelea kukumbatia viongozi majizi, HSC na mambo kama hayo.
2. Kuendesha nchi pasipo kufuata utawala wa sheria. Anajiona yeye ndio ultimate decision maker wa kila kitu na hakuna anayejua zaidi yake. Sasa watu wameamua kumuacha afanye kazi zoootee peke yake.
3. Nchi kukosa muelekeo wa kiuchumi. Hii inapelekea kuwa na hali ngumu pasipo sababu. Bado anaangaika na kodi za machinga na mama Ntilie, wakati kule kwenye madini wanawaanchia wazungu wanachukua madhahabu na Almasi bureee kabisa. Hana vyanzo vipya vya kodi zaidi ya kumbana mwananchi wa kawaidi.
4. Kunyima Uhuru wa habari. Hii imejionyeshwa kupitia kukataa kuonyesha Bunge Live kwa sababu ya kuogopa wananchi kuona serikali yake ikikosolewa. Yeye anataka kusifiwa tu, ukimkosoa ni shida.
Chukua like milioni 6 baby..Maskini Magufuli ana nia njema sana na nchi hii tatizo sijui ni mbinu anazotumia au ni wanaomshauri binafsi kuna vitu namuelewa sana ingawa hili la uhuru wa vyombo vya habari simuelewi kabisaaaaa
Hilo ni moja kati ya matatizo ya Mkulu wetuBinafsi hua kamwe sipendi viongozi wenye mlengo wa ukomunist/ujamaa hua ni idealistic,imaginary na wapenda sifa na hatimaye kuharibu maendeleo.Sasa huyu ndo tumempata tutapiga marktime mpaka tushangae
Nonsense kabisa.Mwanzoni mwa utawala wake ilikuwa kila gazeti linamwandika yeye tena vizuri. Vijiwe vyote kuanzia vya kahawa, daladala, bar na maofisini story alikuwa ni yeye tena watu wakimsema kama malaika mkombozi.
Ghafla upepo ukabadilika, watumishi wakaanza kukosoa utumbuaji majipu, wafanyabiashara wakakosoa mbinyo wake kwenye kodi, wanasiasa wakahoji style yake ya uongozi. Wananchi wa kawaida wakanigwa na maisha magumu (ingawa hawa bado wamebakiza kaimani fulani). Vyombo vya habari wanalalamikia kuminywa uhuru wao.
Kiujumla upepo unavuma vibaya kwa JPM naye ameshakiri ugumu wa kiti chake mpaka akasema angejua asingegombea urais. Je, rais wetu amekosea wapi mpaka hali imegeuka mapema hivyo?
Tembo anabebeshwa ubongo wa kuku
Tembo anabebeshwa ubongo wa kuku
hata kama kuna mambo huyafurahii,ucmkashifu mana huwatendei haki walio chini ya mipaka yake.siyo vizuri mkuuahahaha,kwa hio akili imeshindwa kuendesha mwili?