Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,804
Wewe mleta mada ni pumbavu sana. Eti umefika Manhattan 2002 ukajiona umemaliza kabisa. Watu wameanza kufika huko USA na Europe early 60s, 70s,80s wakafanya kilichowapeleka na kurudi kujenga nchi Tanzania. Vijana Kama wewe mlioenda Marekani kwa Scout na Camp Mna matatizo sana. Status yako ikoje hapo ulipo!!?? Ulipofiwa uliweza kurudi Bongo!? Acha ulimbukeni kijana. Mh Rais haihitaji exposure kwa kuja Manhattan au Chicago...After all sisi Watanzania tunahitaji Maendeleo na huduma bora za Afya na Jamii kwa kila Mtanzania. Hayo mambo ya Exposure peleka Big Brother au kwenu Mpitimbi. Bado unatongoza visichana vya Chuo Facebook kwa kutumia Exposure ya kufika manhattan mwaka 2002!!!!???? Ama kweli Ushamba mzigo!!!
Jk yeye alikua ka ndege angani na kula bataz had kubembea
Jk yeye alikua ka ndege angani na kula bataz had kubembea kah magufuli akomae na huku ndani
Mmh,watu MNA maneno,MKULU alikuwa anakula bata juu kwa juu HEWANI,,,,ivi si wakwere tutakuja kweli pewa chance tena yakuongoza nchi,,,,,,,,,