Magufuli aangalie upya huu mfuko wa NHIF, wanatutesa na kutunyanyasa, wanakuchonganisha na watumishi

WAONGOOOOOO........

Hospitali ya Rufaa Meta huko Mbeya hizo dawa hawatoi, ndugu yangu ni mwalimu mkoa huo kaenda wiki jana imebidi kununua!........


huku dodoma ninakoishi sijafuatilia hali ikoje,
Tatizo la mfuko ni Bodi ya NHIF yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…