Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

Habari ya kutwa wanajamvi,Nisameheni bure kwa kupost uzi huu usiku wa manane,coz nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti juu ya mabadiriko anayoyahubiri mr.hapa kazi tu bila majibu.

Nakumbuka mwaka jana ccm kwa ujumla wao waliyakataa mabadiriko ya mfumo wetu wa utawala na wa namna ya kuwapata viongozi wa Taifa letu,walikataa mabadiriko ya mfumo wa kuongeza uwajibikaji serikalini na mfumo wa kushughulikia viongozi wazembe na wavivu,walikataa mfumo wa kudhibiti wizi na ufisadi wa mali za umma kama ilivyokuwa imependekezwa na watanzania kupitia rasimu ya pili ya katiba mpya.

Leo hii magufuli anakuja na sera ya mabadiriko ni mabadiriko gani hayo?

Nakumbuka -Katiba mpya haikuwa agenda ya ccm na ccm ilibojaribu tu kubadirishia gia agani ilishindwa vibaya sana kuachieve

Mabadiriko si agenda ya ccm coz imeshayakataa ila inajaribu kubadirishia gia angani. je itaweza?

Hakika haitaweza.Magufuli acha kudanganya umma,please mwogope MUNGU
 
Mabadiliko anayoyazuungumzia Magufulia ni kuanzia ndani ya chama hadi ngai ya nchi, Kma hua unamsikiliza kwa makini, hua anasema kua kuna watu wachache wanasababisha wananchi wanakichukia chamam na kuichukia serakali, sasa hawa ambao huwa ananwaita kunguni ndio wakutafutwa na kuchomwa moto ili amambo yakae vizuri ndani ya chama, na katika nchi mabadiliko hayo mfano, anasema serikali mtumishi akiharibu hua nanahamishwa kupelekwa sehemu nyingine ila kwake hayo mamabo yatakua hamna, ukiharibu sehemu moja ndio bas tena, kingine maswala ya uzoefu kwa wanaoomba kazi utakua hamna...haya ni baadhi tu ya mabadiliko ambayo anayazungumzia
 
anaimba wimbo asiyoujua watu wanapotaka mabadiliko maana yake wanataka mabadiliko ya chama yeye anadhani watu wanataka mabadiliko ya mtu chama kilekile na sera zilezile
 
Mabadiliko anayoyazuungumzia Magufulia ni kuanzia ndani ya chama hadi ngai ya nchi, Kma hua unamsikiliza kwa makini, hua anasema kua kuna watu wachache wanasababisha wananchi wanakichukia chamam na kuichukia serakali, sasa hawa ambao huwa ananwaita kunguni ndio wakutafutwa na kuchomwa moto ili amambo yakae vizuri ndani ya chama, na katika nchi mabadiliko hayo mfano, anasema serikali mtumishi akiharibu hua nanahamishwa kupelekwa sehemu nyingine ila kwake hayo mamabo yatakua hamna, ukiharibu sehemu moja ndio bas tena, kingine maswala ya uzoefu kwa wanaoomba kazi utakua hamna...haya ni baadhi tu ya mabadiliko ambayo anayazungumzia
Mkuu kwani tunachakua rais wa nchi au mwenyekiti wa ccm?hayo mabadiriko ndani ya ccm sisi yanatuhusu nini,why msiende kupeana sumu kwanza ili 2020 kunguni wakishaisha ndo mje kuomba kura zetu.

Hayo mabadiriko ya ndani ya serikali yanatofautina vipi na yale yaliyo kwenye rasimu ya pili ya katiba mpya?
 
anaimba wimbo asiyoujua watu wanapotaka mabadiliko maana yake wanataka mabadiliko ya chama yeye anadhani watu wanataka mabadiliko ya mtu chama kilekile na sera zilezile
Ndiyo mkuu,chama na mfumo wake wa utawala,sera na namna mpya ya kufikiri
 
Habari ya kutwa wanajamvi,Nisameheni bure kwa kupost uzi huu usiku wa manane,coz nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti juu ya mabadiriko anayoyahubiri mr.hapa kazi tu bila majibu.

Nakumbuka mwaka jana ccm kwa ujumla wao waliyakataa mabadiriko ya mfumo wetu wa utawala na wa namna ya kuwapata viongozi wa Taifa letu,walikataa mabadiriko ya mfumo wa kuongeza uwajibikaji serikalini na mfumo wa kushughulikia viongozi wazembe na wavivu,walikataa mfumo wa kudhibiti wizi na ufisadi wa mali za umma kama ilivyokuwa imependekezwa na watanzania kupitia rasimu ya pili ya katiba mpya.

Leo hii magufuli anakuja na sera ya mabadiriko ni mabadiriko gani hayo?

Nakumbuka -Katiba mpya haikuwa agenda ya ccm na ccm ilibojaribu tu kubadirishia gia agani ilishindwa vibaya sana kuachieve

Mabadiriko si agenda ya ccm coz imeshayakataa ila inajaribu kubadirishia gia angani. je itaweza?

Hakika haitaweza.Magufuli acha kudanganya umma,please mwogope MUNGU

= mabadiliko
= mabadiliko
= mabadiliko
= mabadiliko
= mabadiliko
= kubadilishia
= Mabadiliko

Halafu saa tano za usiku si "usiku wa manane".
 
Habari ya kutwa wanajamvi,Nisameheni bure kwa kupost uzi huu usiku wa manane,coz nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti juu ya mabadiriko anayoyahubiri mr.hapa kazi tu bila majibu.

Nakumbuka mwaka jana ccm kwa ujumla wao waliyakataa mabadiriko ya mfumo wetu wa utawala na wa namna ya kuwapata viongozi wa Taifa letu,walikataa mabadiriko ya mfumo wa kuongeza uwajibikaji serikalini na mfumo wa kushughulikia viongozi wazembe na wavivu,walikataa mfumo wa kudhibiti wizi na ufisadi wa mali za umma kama ilivyokuwa imependekezwa na watanzania kupitia rasimu ya pili ya katiba mpya.

Leo hii magufuli anakuja na sera ya mabadiriko ni mabadiriko gani hayo?

Nakumbuka -Katiba mpya haikuwa agenda ya ccm na ccm ilibojaribu tu kubadirishia gia agani ilishindwa vibaya sana kuachieve

Mabadiriko si agenda ya ccm coz imeshayakataa ila inajaribu kubadirishia gia angani. je itaweza?

Hakika haitaweza.Magufuli acha kudanganya umma,please mwogope MUNGU

Naona unabwabwaja tu hujui maana ya mabadiliko
Ebu malizia hicho kiloba chako urare
 
CCM na JPM kwishney,hawana hoja,ahadi kedekede,utekelezaji sufuri,sasa wanaungana na Ukawa katika Mabadiliko!
 
Hivi kwa mfano Magufuli anaurudisha ule mchakato wa katiba na ile ya Warioba ikapitishwa ,wapinzani watakamatiwa wapi?
 
Unasemaje mabadiliko kwenye jukwaa wakati mnaimbisha mapambio na ule wimbo wenu ccm ni ileile hivi tangu lini chupa mpya ya mvinyo ikabadili mvinyo wa zamani uliowekwa leo chupa mpya huwekwa mvinyo mpya na hiyo ni ukawa lazima uone mabadiliko ya mvinyo endeleeni kubadili chupa watu washajua mvinyo wenu una kinyesi haunyweki ng'ooo tunaogopankipindupindu
 
Magufuli akiwa katika moja ya mikutano alitoa maana ya ishara ya vidole ya chadema ,kwamba ukivipindua na kutumia mikono yote inatengeneza herufi M ambayo Ina maana ya magufuli, na neno peoples power ligeuzwe kumuinua yeye yaani magufuli power
 
Na pia kasema naye mchagueni kama ni ugonjwa hata yeye pia mgonjwa Kwani jamani hamkumwona kwa babu akinywa kikombe?
 
Back
Top Bottom