Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

USISAHAU KUTIZAMA MATOKEO au kupiga KURA ya maoni ya watanzania inayoendelea hadi 24/10/2015 kuhusu nani awe Rais 2015 kwa kubonyeza hii linki hapa chini:
👇
www.mayocoo.com/vote
☝☝
Tafadhari watumie ujumbe huu Watanzania wengine wenye simu yoyote yenye INTERNET AU WHATSAPP AU GROUP bila kujali uko chama gani.👊
 
Mtu anaposalimu amri kwa kukuiga wewe
ujue aneshakata tamaa sasa anaejifananisha
na wewe ni anayeona umemuzidi. Kwa chama tawala na chama dola ni aibu iliyoje badala
ya mtoto kuiga kwa baba sasa baba ndiye
anaiga kwa mtoto !!! Akivaa mlegezo kesho
yake nae baba kavaa mlegezo !!
Hii ni aibu kubwa hata kujitambulisha
kama mwanaccm !! Sasa
wanaCCM wamezibwa mdomo watajidaishia
nini sasa !!
 
Yaani ccm wamefika ukomo wa kufikiri duh... Kwa ck zilizobaki wanaweza paka rangi nyeupe kichwa cha makufuri.... Hahahaaaa lowasaa waburuzeeee haoooo
 
Lowasa HAMBULUZI MTU tulikua tuu tunawaambia kua hyo slogan haiwafai nyie inatufaa ss na tumeichukuaaasaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
#HAPAKAZITUU
 
"First they-will ignore-you-Then they-will-criticize you-Then-they-will try to copy you-andthen-you-will win"Mahatma Gandhi
 
Cha muhimu ni kuelimisha watu hasa wa vijijini juu ya hii kitu. Kubeza tu hakusaidii maana ina impact yake. Haijakaa kitoto kama wengi wanavyodhani. Uchaguzi huu hata kura mia zina madhara. Hakuna ushindi wa kishindo kwa kambi yeyote

ukisikia neno vijijini unafikiria ni nini??? kuna binadamu kama wew, kuna mawasiliano ya simu, kuna mitandao ya kijamii siku hizi, sijui kama umeshapatembelea, kwa hyo huo utoto wa ccmizi hauna tija zaidi utawafumbua macho kwmb ccmizi wanaleta utani kwenye mambo ya msingi kama haya
 
Magufuli hoyeeeeeee,hapa kazi tu
tunayo kila sababu ya kumchagua magufuli kuwa kiongozi wetu wa awamu ya tano kwa kuwa anazo sifa zote za kushika nafasi hiyo ukianznia na uadilifu,uzalendo,uchapakazi na ni kiongozi anayejali maslahi yetu wanyonge
 
Kiongozi wetu ni magufuli tu,hata mkisema nini,tulio wengi tunamkubali sanaaaaaaaa magufuli wetu,jembe,chaguo la wengi,mzalendo,mchapa kazi,mwadilifu,mfuatiliaji na ni mtu anayefahamu vyema maisha ya watanzania
 
M4C Magufuli for Change,kwa kweli imetulia,aliyetoa tafsiri hii ameitendea haki.
 
Back
Top Bottom