Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 120,166
- 143,422
Hatari sana...
Hatari sana...
Daktari hakukupa maelekezo? Subir mwez mmoja kapime Tena. Ungonjwa unaambukiza kwa njia ya Mouth to mouth , kuchangia vifaa vya kula kunywa na mgonjwa , maji na chochote kilicho contaminated na hao bacteriaMkuu naomb maelekezo nilikuwa n H pylori nmetumia dawa wiki 2 zile H pylori kit je nifanyej kujilnda nao?