Magomeni: Wadada wapigana kisa upatu

Magomeni: Wadada wapigana kisa upatu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,353
#MAGOMENI: WADADA WAPIGANA KISA UPATU

lengo la michezo ya upatu ni kuongeza kipato au kukuza biashara ya muhusika lakini mmoja wa wanachama anapotaka kuleta ujanja ujanja na kukwamisha malengo ya wengine kinachofatia huwa ni kipigo.

Tukio Hili Limetokea maeneo ya Magomeni ambapo Dada Mmoja inasemekana Hakutoa pesa ya upatu ya mwenzie ndipo ugomvi huo ulizuka na kuzua taflani katika wakazi wa maeneo hayo.
1564847442861.jpeg
 
#MAGOMENI: WADADA WAPIGANA KISA UPATU

lengo la michezo ya upatu ni kuongeza kipato au kukuza biashara ya muhusika lakini mmoja wa wanachama anapotaka kuleta ujanja ujanja na kukwamisha malengo ya wengine kinachofatia huwa ni kipigo.

Tukio Hili Limetokea maeneo ya Magomeni ambapo Dada Mmoja inasemekana Hakutoa pesa ya upatu ya mwenzie ndipo ugomvi huo ulizuka na kuzua taflani katika wakazi wa maeneo hayo.
View attachment 1171500
Picha inazungumza mengi. Kutokana na picha unaweza kusoma ni wanawake wa aina gani. Ukisikia uswazi full ndiyo huku.
 
#MAGOMENI: WADADA WAPIGANA KISA UPATU

lengo la michezo ya upatu ni kuongeza kipato au kukuza biashara ya muhusika lakini mmoja wa wanachama anapotaka kuleta ujanja ujanja na kukwamisha malengo ya wengine kinachofatia huwa ni kipigo.

Tukio Hili Limetokea maeneo ya Magomeni ambapo Dada Mmoja inasemekana Hakutoa pesa ya upatu ya mwenzie ndipo ugomvi huo ulizuka na kuzua taflani katika wakazi wa maeneo hayo.
View attachment 1171500
HAHAHAAAAAAAA HOPE AWAJATAKATISHA PESAAA HAYOO MENGINE
WANAJUANA
 
Ngumi za wanawake lazima wavuane nguo. Mimi nikajua wamevuana nguo. Mpiga picha angesubiri wavuane nguo tufaidi zaidi.
 
Duuu MTU kapigwa Roba ya hatari
#MAGOMENI: WADADA WAPIGANA KISA UPATU

lengo la michezo ya upatu ni kuongeza kipato au kukuza biashara ya muhusika lakini mmoja wa wanachama anapotaka kuleta ujanja ujanja na kukwamisha malengo ya wengine kinachofatia huwa ni kipigo.

Tukio Hili Limetokea maeneo ya Magomeni ambapo Dada Mmoja inasemekana Hakutoa pesa ya upatu ya mwenzie ndipo ugomvi huo ulizuka na kuzua taflani katika wakazi wa maeneo hayo.
View attachment 1171500
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom