Magogo ya kukatia nyama mwisho September 30

state agent

JF-Expert Member
Jul 1, 2019
1,764
2,511
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
 
Nyama bucha 90% hufanana bei kwa kg
Mabucha machache kama Kongwa ndiyo huuza bei kubwa zaidi kutokana na nyama unayohitaji.

Mteja kukubali nunua nyama kwenye bucha chafu ni uamuzi wake.

Mi sinunui nyama bucha ya ajabu bora nile maharagwe
 
Nyama bucha 90% hufanana bei kwa kg
Mabucha machache kama Kongwa ndiyo huuza bei kubwa zaidi kutokana na nyama unayohitaji.

Mteja kukubali nunua nyama kwenye bucha chafu ni uamuzi wake.

Mi sinunui nyama bucha ya ajabu bora nile maharagwe
Kila bucha hayo magogo yapo
 
Mbona bucha zote zina machine za kukatia nyama? Japo zile mashine naziogopa sana..sijaona magogo siku za karibuni hapa.

Na je hao vijidudu ukienda kupika nyama hawafi)
V(joke)
Kabla ya kuingiza nyama kwenye mashine/uikatekate lazima uipigepige kwa shoka nyama sasa itabidi waje na style nyingine

Ova
 
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
Ngoja tuone wauza nyama ile tamu kuliko zote watafanyaje
 
Hopefull gharama za mashine za kukatia nyama hatutorudishiwa walaji, maana wafanya biashara wanajijua wenyewe.
 
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
Waliishi watu kwa style hiyo miaka tele,Afya zao zilikuwa nzuri kuliko zetu


Ila
Huku kuchunguza saaaaaana

Mwisho utatoka .........
 
Serikali ya kusinzia. Kila ikiamka kwa dkk tatu kuna agizo then inauchapa usingizi mzito. Najua sasa imesinzia ikistuka utasikia imepiga marufuku kamari.
Nchi haijengwi kwa kamari BW Mpango
 
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
Mbadala wake ni nini? Wauza nyama wengi hawawezi mudu gharama ya ile misumemo maalumu ya kukatia mifupa
 
Back
Top Bottom