state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji
Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini
Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV
My take
Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya
Chanzo EATV
Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini
Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV
My take
Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya
Chanzo EATV