Ni kweli, ila mababu zetu walikula vyakula vingi vya asili na vyenye virutubisho, walifanya mazoezi kila mara kwa kufanya kazi ngumu na kutembea umbli mrefu. Hii iliwasaidia kiafya na kuweza kukabiliana na magonjwa mengi. Sisi vyakula na maisha yetu ya kisasa yanaupungufu sana na hivyo ni nyema kuchukua tahadhari.Magogo yalitumika toka enzi za Mababu na hawakupata madhara yeyote waliishi miaka mingi mno,msrmeni kukata mifupa uwezekano wa kula chuma ni mkubwa,bora utafune mti kuliko chuma,mi nafikiria ingekua option,mabucha yachague
Isitoshe tungekuwa tumeshakufa kwa miongo mingi kwani tumeanza kula nyama ya gogo tokea tuko wadogo.Mbona bucha zote zina machine za kukatia nyama? Japo zile mashine naziogopa sana..sijaona magogo siku za karibuni hapa.
Na je hao vijidudu ukienda kupika nyama hawafi)
V(joke)
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji
Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini
Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV
My take
Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya
Chanzo EATV
Umeona ee.Isitoshe tungekuwa tumeshakufa kwa miongo mingi kwani tumeanza kula nyama ya gogo tokea tuko wadogo.
Kuna vijidudu haistahili kukaa kwenye joto Kali na pia sehemu kama migahawani au mahotelini watachemsaha inavyostahili ili hivyo vidudu vifeMbona bucha zote zina machine za kukatia nyama? Japo zile mashine naziogopa sana..sijaona magogo siku za karibuni hapa.
Na je hao vijidudu ukienda kupika nyama hawafi)
V(joke)