Magogo ya kukatia nyama mwisho September 30

Haya sasa!! Kama in hivyo basi waasishie hapo,,,waende pia kwenye mashine za kusaga nafaka ,,,,,yale meno yanayo isha, zile particles za chuma zinaenda wapi kama sio kuishia kwenye unga. Hapo kiafya haina madhara!!??
 
Mimi tangu kuzaliwa zaidi ya miaka sitini ni magogo leo hii ya doctor gani.Haya magogo ya vyuma.
 
Haya sasa!! Kama in hivyo basi waasishie hapo,,,waende pia kwenye mashine za kusaga nafaka ,,,,,yale meno yanayo isha, zile particles za chuma zinaenda wapi kama sio kuishia kwenye unga. Hapo kiafya haina madhara!!??
Mwili wa binadamu unahitaji kiasi fulani cha madini ya chuma; ndio hayo tunakula kwenye unga, samaki na mboga za majani
 
Kabla ya kuingiza nyama kwenye mashine/uikatekate lazima uipigepige kwa shoka nyama sasa itabidi waje na style nyingine

Ova
Ile misumeno ya mashine inakata ukubwa wowote wa nyama, hata mapaja mawili kwa pamoja ya ng'ombe, sema tatizo umeme 90% ya mabucha yote nchini hayatumii umeme hata miji pia, watafute mbadala, sina uhakika miti ni sumu, tusibiri mishkaki ya njiti kupigwa marufuku baada ya spoku
 
Unajua mambo mengine wala ayaitaji digrii ya chuo kikuu miaka yote uko nyuma walikuwa wapi na isitoshe watu walikuwa wala hawaumwi eti sasa hivi ndio wameanza kushtuka kuna wadudu aya ngoja tuone
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
 
Huyo alietoa agizo hilo ukimuulza ni ugonjwa upi anaweza kupata mlaji hata hajui,wanataka waonekane wanafanya kaz
 
Mbona wanawekaga mifuko kwanza, halafu wengi siku hizi wanatumia mashine
Serkal kupitia wizara ya afya ,mifugo na uvuvi imepiga marufuku magogo ya kukatia nyama mabuchani ikitaja kuwa yana madhara kwa afya ya walaji

Kiongea na kituo cha EATV mkuu wa kitengo cha afya ya walaji kutoka bodi ya nyama bwana Selvester amesema kuwa wamewapa taarifa ma afsa afya wote wa mikoa na wilaya kisimamia zoezi hilo kwa umakini

Yale magogo ya kukatia nyama huhifadhi uchafu wa mabaki ya nyama na vijidudu na baadae huleta magonjwa kwa walaji,alikaliliwa bwana Silvester akiiiambia EATV

My take

Walikuwa wapi tangu tumeuziwa uchafu na nini mbadala wa magogo haya

Chanzo EATV
 
Watu wangeshalalamika viumbe vitakuwa vinakufa baada ya kupikwa au kuchomwa nyama
 
Wengi watafunga bucha zao kwa kushindwa gharama za uendeshaji (Bei ya machine+Frame zenye umeme/generator), then nyama itaadimika bei itapanda.

The Common mwananchi will carry the burden as usual

Msiangalie Dar tu huku Mwakitolyo vipi?
 
Na kweli lakini.

Yale magogo huwa ni machafu sana.

Sijui hata kama huwa yanaoshwa yale.

Kwanza habari Chief, uzima upo?
Wanaweza wasifanikiwa kwa kiwango kikubwa lakini kwamba tu wameanza kuzinduka kuangalia usalama na afya ya mtumiaji ni hatua nzuri.

Hata ile misumeno na sehem wanaandalia nyama ukienda butcher usafi wake bado una walakini. Utakuta sehem hiyo hiyo inatumika kwa kuku na samaki, pili lile sponji/ kipande cha godoro anasafishia halibadilishwi, ni hilo hilo tu. Hapo sijaongelea usafi wa misumeno.

Lakini tukirudi kwenye hoja, wamefanya utafiti kubaini ni magonjwa gani hasa yanasababishwa na uchafu wa magogo ya kwenye butcher?
Naamini nyama inaenda kupikwa, Je huo uchafu au madhara yake yanaendelea kubaki vile vile hata yakipita kwenye moto wakati wa kupika nyama?

Kwa upande wangu, janga kubwa kabisa kiafya ni matumizi ya hizi simu za kiwango cha chini. Hilo ni tatizo kubwa sana na wangeendeleza ile ksmpeni ya kuzizima na kupiga marufuku ingekua bora. Hazizingatii madhara ya mtumiaji.
 
Back
Top Bottom