Maggid ana nini na CDM?

Maggid is the coolest guy who happens to reason with low minded people. Kama huelewi tafsiri tuwasiliane ipo ya kiswahili, kihehe na kijapan na wale wapendao spaniola nitafuteni basi.

Mbona umekopa ubongo wa MBOGO ndugu?....kama thread haikufurahishi uko huru kutochangia au kuicha kabisa
 
bro pamoja na kuoa mzungu bodo hastaarabiki tu,ndo matatizoya wahehe,shule ndogo brain haipo smart thats y,ngoja ntampa taarifa mzungu anyang'anye laptop,lkn sometimes tuvumilie coz hata mke wake kamzidi umri so ni kama anambemenda,mwambi rostamhatampa chochote zaidi ya kumpotezea amani kwenye jamii hii ya wenye hasira

we kijana koma kuwaongelea wahehe, kwanza maggid siyo mhehe sasa sielewi tatizo lako ni nini? Wahehe usicheze nao watakupa kibano mwanangu. Unaonekana unausongo wa laptop, sasa hao wahehe unao wasema wangeweza kukupa laptop kama ungekuwa na heshima. Lakini kwani wewe kinakuwasha nini mambo ya mtu ya binafsi.
 
Back
Top Bottom