Mageuzi!
Ila mageuzi ndani ya chadema ni rahisi sana...Ndiyo maana yule mzee akawa mgombea mpaka kuweka chini yake kamati kuu yote ya chadema!Mageuzi na CCM wapi na wapi?!
....Ila mageuzi ndani ya chadema ni rahisi sana...Ndiyo maana yule mzee akawa mgombea mpaka kuweka chini yake kamati kuu yote ya chadema!
Hanna mvuto hata mkijitahidi kujipaka mkorogoTarehe22/12/2016,
Asubuhi saa2, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Humprey Polepole atakuwa Clouds Tv na Uhuru Fm akizungumzia mageuzi Makubwa Ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Usikose.
Mageuzi na CCM wapi na wapi?!
Mkuu kwa kweli hapo umemaliza kila kitu..!!Usanii tu Mkuu. Chama kinachotoa rushwa kwa Wabunge wake ili wapitishe muswaada uchwara kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinadhani bado tuko kwenye mfumo wa chama kimoja na hivyo kutoiheshimu katiba ya nchi kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinapora bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kamwe hakiwezi kubadilika. Chama kinachodai kwamba mahakama ya ufisadi kutokuwa na kesi ni ishara nzuri wakati kuna mafisadi chungu nzima ambao hawaguswi na mkono wa sheria kamwe hakiwezi kubadilika.
Nendeni TBCUKAWA karibuni Mkodoe Macho TV zenu ukiwa ume Tune Clouds Tv, Mshuhudie Chama Kubwa CCM linavyoongozwa.
Karibuni sana UKIWA.
Si msubiri??