Mageuzi makubwa CCM

Mageuzi makubwa CCM

13912358_1568011230171684_8702212615280387452_n-jpg.449135


Na wakatarajia matokeo positive ,wakati fisi ni wale wale ..
 
Ni kweli chama kubwa lakini akili ndogo,kichwa kikubwa ubongo mdogo
 
Usanii tu Mkuu. Chama kinachotoa rushwa kwa Wabunge wake ili wapitishe muswaada uchwara kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinadhani bado tuko kwenye mfumo wa chama kimoja na hivyo kutoiheshimu katiba ya nchi kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinapora bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kamwe hakiwezi kubadilika. Chama kinachodai kwamba mahakama ya ufisadi kutokuwa na kesi ni ishara nzuri wakati kuna mafisadi chungu nzima ambao hawaguswi na mkono wa sheria kamwe hakiwezi kubadilika.
Kwa kifupi kimepoteza hadhi ya kuitwa chama cha siasa na sasa kimegeuka kikundi cha watu fulani kwa malengo fulani.
 
Fatu J,yukowapi?mnajua nyinyi wenyewe alaf hatuishiwi na kelele kilasiku vinasaba,vinasaba.mnafahamukabisa aliemuuza Fafu j,ebu mkamateni haraka mahakama ya mafisadi imedoda.
 
Tusubiri wakati ukweli tunaujua? Unakumbuka kulivua gamba iliishia wapi? Hakuna mageuzi ndani ya CCM zaidi ya danganya toto. Huwezi kufanya mageuzi huku umewakumbatia watoa rushwa, wapokea rushwa, wakwapuzi wa pesa za wahanga wa tetemeko, majangili na wahuni wengine mbali mbali. Angalia kuhusu mahakama ya mafisadi, baadhi ya Watanzania walioamini usanii wa kuhusu mahakama hii wakaamini huu usanii. Sasa tunaambiwa eti mahakama hiyo iko idle kwa sababu inakosa kesi za mafisadi!!!! Kweli mafisadi wote hawa wa Lugumi, Escrow, IPTL, boti uozo n.k. halafu mahakama inakaa idle!!! Kweli!? Acheni kutuzuga banaa na kutufanya wapumbavu wa kutupa.
kwenye bold hapo ... unamaanisha watanzania.
 
CCM bwana! Hakuna cha mageuzi labda mngesema mapinduzi kwani watu ni wale wale Sera zile zile
 
Ivi kwa Ugumu huu wa Maisha, kuna mtu atathubutu kuwasikilza maccm kweli? Labda kama akili zake haziko sawa
 
Serikali ya ajabu Tanzania kweli hamna mafisadi?,kagoda,Meremeta na Wanufaika wa IPTL hiyo mahakama haiwahusu,kwa hiyo majaji wa mahakama hiyo hawana kazi,makarani hawana kazi,office attendant nao hawana kazi,kwa tafsiri nyingine hao watu wanalipwa bila kazi.
Sasa basi naomba serikali nyie wenyewe mtamke kuwa hawa ni wafanyakazi feki ova.
 
Nauliza masafa ya Uhuru FM pse
 
Leo sitoki kwenda kuokota makopo(ndiko niliko jiajiri) nitamsikiliza POLEPOLE, kama atatuletea ajira mbadala
 
Back
Top Bottom