Mageuzi makubwa CCM

Mageuzi makubwa CCM

Tumbafu sana bunge live hamtaki tuangalie, leo mnatuambia tuangalie huo upuuzi wenu nyambaafu.
 
TBC TV Kwa nini Hawatorusha Matangazo ya Moja kwa Moja?
 
Tusubiri wakati ukweli tunaujua? Unakumbuka kulivua gamba iliishia wapi? Hakuna mageuzi ndani ya CCM zaidi ya danganya toto. Huwezi kufanya mageuzi huku umewakumbatia watoa rushwa, wapokea rushwa, wakwapuzi wa pesa za wahanga wa tetemeko, majangili na wahuni wengine mbali mbali. Angalia kuhusu mahakama ya mafisadi, baadhi ya Watanzania walioamini usanii wa kuhusu mahakama hii wakaamini huu usanii. Sasa tunaambiwa eti mahakama hiyo iko idle kwa sababu inakosa kesi za mafisadi!!!! Kweli mafisadi wote hawa wa Lugumi, Escrow, IPTL, boti uozo n.k. halafu mahakama inakaa idle!!! Kweli!? Acheni kutuzuga banaa na kutufanya wapumbavu wa kutupa.
Wee jamaa unaonekana una chuki binafsi na ujue hazijeng zaidi utakufa kwa kihoro
 
Huyu mtangazaji wa kiume empty kabsa kichwani anamuuliza polepole atafanyaje kuhakikisha kua watanzania wote wanakua ccm,,, polepole nae anajibu kua anataka ccm ndo ibaki kutawala tu ila vyama vingne vya upinzani vibaki kupiga kelele na kuongea zaidi, hii ni interview mbovu kuwahi kutokea nchini
 
Lugha uliotumia sio sahihi, MAGEUZI MAKUBWA MAANA YAKE NI MAPINDUZI...!!

Acha ujinga..!!
 
Serikali ya ajabu Tanzania kweli hamna mafisadi?,kagoda,Meremeta na Wanufaika wa IPTL hiyo mahakama haiwahusu,kwa hiyo majaji wa mahakama hiyo hawana kazi,makarani hawana kazi,office attendant nao hawana kazi,kwa tafsiri nyingine hao watu wanalipwa bila kazi.
Sasa basi naomba serikali nyie wenyewe mtamke kuwa hawa ni wafanyakazi feki ova.

Tatizo ni tafsiri ya ufisadi. Waweza fanya ufisadi kupiga vita UFISADI.
 
CCM haiwezi kubadilika hata malaika akiishukia!!! Tatizo la ccm ni moja tu!!! Ukiiacha kansa iliyoanzia mkononi ikasambaa mwili mzima ni ngumu sana kupona!! Walichelewa kukata mkono sasa kansa imesambaa mwili mzima!! Magonjwa anasubiri mauti!!! Ndani ya ccm kuanzia viongozi wakubwa hadi wanachama wa kawaida wote ni wanafiki!!
Eti sumaye ndio anawafundisha uongozi chadema maana alisema haina viongozi
 
Tarehe22/12/2016,
Asubuhi saa2, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Humprey Polepole atakuwa Clouds Tv na Uhuru Fm akizungumzia mageuzi Makubwa Ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Usikose.

Yaani kweli unaamua kuwaalika watu ktk mambo ya ccm! Ee bwana wee!
 
Kajamaa kanafiki sana kale.
Siku kalivyozaliwa kalikuwa hivi
tapatalk_1482310188079.jpeg
 
Polepole naye amekuwa mtu asiye na princiles. Hivi inawezekanaje wewe muumini ngangari wa seriksli tatu (hii ndiyo imani yako) unakubali kirahisi hivyo kubadilika ghafla na kuwa kiongozi wa chama kinachoamini piga ua galagasa mfumo wa serikali mbili!
Je, hili halimuumizi dhamira? Nafsi haimsuti? Atawezaje kusimama hadharani kutetea sera ya chama chake ya serikali mbili? Polepole umekuwa too cheap! Anything goes type of a person. Yaani huna personal conviction? What do you stand for my friend! Tumbo tu basi! Nimechoka! Unafikiunafiki!
 
Back
Top Bottom