wa kitambo
Member
- Sep 21, 2016
- 34
- 14
Tumbafu sana bunge live hamtaki tuangalie, leo mnatuambia tuangalie huo upuuzi wenu nyambaafu.
Tukuamini mjingamjingaTrust me watakao ipiga chini ccm 2020 Ni ccm wenyewe
Wee jamaa unaonekana una chuki binafsi na ujue hazijeng zaidi utakufa kwa kihoroTusubiri wakati ukweli tunaujua? Unakumbuka kulivua gamba iliishia wapi? Hakuna mageuzi ndani ya CCM zaidi ya danganya toto. Huwezi kufanya mageuzi huku umewakumbatia watoa rushwa, wapokea rushwa, wakwapuzi wa pesa za wahanga wa tetemeko, majangili na wahuni wengine mbali mbali. Angalia kuhusu mahakama ya mafisadi, baadhi ya Watanzania walioamini usanii wa kuhusu mahakama hii wakaamini huu usanii. Sasa tunaambiwa eti mahakama hiyo iko idle kwa sababu inakosa kesi za mafisadi!!!! Kweli mafisadi wote hawa wa Lugumi, Escrow, IPTL, boti uozo n.k. halafu mahakama inakaa idle!!! Kweli!? Acheni kutuzuga banaa na kutufanya wapumbavu wa kutupa.
Serikali ya ajabu Tanzania kweli hamna mafisadi?,kagoda,Meremeta na Wanufaika wa IPTL hiyo mahakama haiwahusu,kwa hiyo majaji wa mahakama hiyo hawana kazi,makarani hawana kazi,office attendant nao hawana kazi,kwa tafsiri nyingine hao watu wanalipwa bila kazi.
Sasa basi naomba serikali nyie wenyewe mtamke kuwa hawa ni wafanyakazi feki ova.
halafu hivi kanumwaga nini mbona sura yake iko vile???Kajamaa kanafiki sana kale.
Eti sumaye ndio anawafundisha uongozi chadema maana alisema haina viongoziCCM haiwezi kubadilika hata malaika akiishukia!!! Tatizo la ccm ni moja tu!!! Ukiiacha kansa iliyoanzia mkononi ikasambaa mwili mzima ni ngumu sana kupona!! Walichelewa kukata mkono sasa kansa imesambaa mwili mzima!! Magonjwa anasubiri mauti!!! Ndani ya ccm kuanzia viongozi wakubwa hadi wanachama wa kawaida wote ni wanafiki!!
Tarehe22/12/2016,
Asubuhi saa2, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Humprey Polepole atakuwa Clouds Tv na Uhuru Fm akizungumzia mageuzi Makubwa Ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Usikose.
mahakama ya mafisadi ni kwa ajili ya kufugia popo
Siku kalivyozaliwa kalikuwa hiviKajamaa kanafiki sana kale.
kwa hii chadema = chadomo, kwa kumuweka maumvi au