Wajita naomba mnisamehe! Wajita hawafai wanapenda kujiinua sana! Huyu jamaa anastahili kukandikwa makonde, sijui kwa nini Dr. Faisal hakujitoa ufahamu alipige ngumi hili jitu! Sasa sijui linaona fahari gani kumpotezea mwenzake kazi! Magufuli naye sijui hiyo management kaisomea wapi? Wewe hujiridhishi bwana?!!!Kwa wale mnaomfaham naomba tumuongelee tabia zake coz nasikia ndiye aliyeanzisha ugomv na RAS ila akapeleka umbea Ikulu na jamaa akafukuzwa
Uyo dem alipata kiburi saaaana enzi izo,hata benki aliifanya kama yake,kuna siku alikutana na kichwa kibovu pale alipigwa risasi na afande hata sahau maisha yake,nilikuepo iyo siku,alafu kumbe walikua wamemchoka tabia zakeKiongozi wa hovyo ambae hajapata kutokea Tanzania, alisababisha usumbufu mkubwa sana Arusha kwa kulazimisha meya ambae hakukidhi akidi mpaka yakatokea maandamano na mauaji, huyu jamaa ni limbukeni wa ku...m sana aliwahi kumkodishia hawara nyumba ya garama ya juu amabayo hata yeye na familia yake hawajwahi kuishi akampa na bastola ya kujilinda, ni mla rushwa alie kubuhu aliwahi kuchukua rushwa ya milioni 200 kwa mkandarasi wa ujenzi wa barabara kwa kumtishia kumnyag'anya contract kwa kuchelewesha ujenzi, akikutana na mtu makini anaejua wajibu wako huishia kuchekacheka na kujilamba midomo, Lema ndie kiboko yake, jamaa anafanya kazi bila dira anafanya kazi amfurahishe aliempa kazi. Ni BWEGE TU.
Kwa kuongezea, alipo kuwa Arusha alifunga barabara ya umma ati, magari yakipita yanarusha vumbi nyumbani kwake.Mimi binafsi sina habari za RAS na Magesa Mulongo kwa hiyo siwezi kujibu hoja yako. Ila huyu mkuu wa mkoa wa Mwanza ambaye alihamishwa toka Arusha ni mtu mwenye kujisikia na kuona yeye ni yeye tu dunia hii.
Tulimchoka haswa sio kidogo, alivyoondoka tulifurahi hata jiji lenyewe lilijua adui kaondoka amani imerejea, uchaguzi umefanyika salama hata meya amepatikana salama, jamaa nuksi sana yule.Uyo dem alipata kiburi saaaana enzi izo,hata benki aliifanya kama yake,kuna siku alikutana na kichwa kibovu pale alipigwa risasi na afande hata sahau maisha yake,nilikuepo iyo siku,alafu kumbe walikua wamemchoka tabia zake
mbona unaongea kwa jazba sana mkuu,au ndiye anayekulipia ada nini?kazi za kuajiriwa hazina garanteeDkt. Faisal ni mwanaume asiyependa kunyanyaswa, lkn pia hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni za kukurupuka kwa kuwa ilipaswa iundwe tume ya usuluhishi ili kubaini kwa kina chanzo cha mgogoro kisha hatua zichukuliwe hasa za kumhamisha toka mwanza kwenda mkoa mwingine. Makatatibu Tawala wa Mikoa wamedharauliwa sn.
Mulongo au babako?Ni kati ya viongozi wasiopenda majungu na uonevu hasa watumishi wa ngazi ya chini, kwa ufupi ni muwazi sana .
Google utampata tu!!sijui mjita yule...anatabia zaajabu sana.af hata magu anatakiwa ampige chini tutuwekeeni japo kapicha basi tufurahiiiii. haloooooooooooooooooo
Huyo mkuu wa Mkoa hafai hata kuwa Katibu KataGoogle utampata tu!!sijui mjita yule...anatabia zaajabu sana.af hata magu anatakiwa ampige chini tu
Inaonekana dhahiri hujaelewa mada na ulicho post hapa, Hili ni jibu langu binafsi ninavyomfahamu Mulongo, ulipaswa kueleza unavyomfahamu sio kuniambia Mulongo ni Babako Ndugu.Mulongo au babako?
Mulongo au babako?
Sikuwa na Shaka na utendaji wa Magesa Mulongo, Hongera kuteuliwa tena kuwa RC Mara kapige kazi.Ni kati ya viongozi wasiopenda majungu na uonevu hasa watumishi wa ngazi ya chini, kwa ufupi ni muwazi sana .
Pita tuNapita tuu
Sio vizuri kumhusisha mzazi wake kwenye mijadala ya humuMulongo au babako?