Magereza yapo kwaajili ya binadamu kuwa makini

Magereza yapo kwaajili ya binadamu kuwa makini

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
4,042
Reaction score
16,872
Habari jamii Africa

Gereza linatisha,
Stori zake zinatisha,
Matendo ya huko yanaogofya,

Lakini ikiwa upo Duniani kaa ukijua muda na saa yoyote unaweza kuangukia huko.

Najua wengi tunajitajidi kuishi Kwa ukamilifu ikiwa ni njia ya kujiepusha na makosa mbalimbali,lakini niseme tu kama upo Dunia hii na unatafuta wewe ni mfungwa mtarajiwa.

Ujambazi,madeni, umalaya,ulevi,ubishi,kuua na tabia mbaya nyingi tu zinaweza kukufikisha jela,lakini unatambua kama si kila mfungwa ana hatia?

Ndiyo,wapo wafungwa wamefungwa Kwa kufananishwa, mazingira kuwahusisha na uhalifu,kukosa ushahidi au mashahidi kunaweza kukupeleka jela bila hatia.

Leo nikupe moja mbili tatu ,yaani vitu vidogo Sana vinavyoweza kukuweka matatani na ukajilaumu.

1.Epuka kutoa adhabu Kwa kumrushia mtoto wako kitu,iwe fimbo,jiwe au chochote.

2.Epuka kupiga mtoto wa jirani,ndugu na jamaa Kwa Nia nzuri ya kumuonya.

3.Epuka kuchangamkia wasichana, wadogo Sana,(siku hizi hata watoto wa kiume) ni mbaya sana

4.Epuka kushinda au kuweka mazoea na watu wa madili machafu.

5.Punguza mazoea na wake za watu

6.Jitahidi kufuata hata 0.5 %kufuata Sheria na taratibu za nchi.

No reforms
No election.

Picha ya siku
 

Attachments

  • 20250610_103353.jpg
    20250610_103353.jpg
    111 KB · Views: 14
Habari jamii Africa

Gereza linatisha,
Stori zake zinatisha,
Matendo ya huko yanaogofya,

Lakini ikiwa upo Duniani kaa ukijua muda na saa yoyote unaweza kuangukia huko.

Najua wengi tunajitajidi kuishi Kwa ukamilifu ikiwa ni njia ya kujiepusha na makosa mbalimbali,lakini niseme tu kama upo Dunia hii na unatafuta wewe ni mfungwa mtarajiwa.

Ujambazi,madeni, umalaya,ulevi,ubishi,kuua na tabia mbaya nyingi tu zinaweza kukufikisha jela,lakini unatambua kama si kila mfungwa ana hatia?

Ndiyo,wapo wafungwa wamefungwa Kwa kufananishwa, mazingira kuwahusisha na uhalifu,kukosa ushahidi au mashahidi kunaweza kukupeleka jela bila hatia.

Leo nikupe moja mbili tatu ,yaani vitu vidogo Sana vinavyoweza kukuweka matatani na ukajilaumu.

1.Epuka kutoa adhabu Kwa kumrushia mtoto wako kitu,iwe fimbo,jiwe au chochote.

2.Epuka kupiga mtoto wa jirani,ndugu na jamaa Kwa Nia nzuri ya kumuonya.

3.Epuka kuchangamkia wasichana, wadogo Sana,(siku hizi hata watoto wa kiume) ni mbaya sana

4.Epuka kushinda au kuweka mazoea na watu wa madili machafu.

5.Punguza mazoea na wake za watu

6.Jitahidi kufuata hata 0.5 %kufuata Sheria na taratibu za nchi.

No reforms
No election.

Picha ya siku
No reforms no elections
 
Habari jamii Africa

Gereza linatisha,
Stori zake zinatisha,
Matendo ya huko yanaogofya,

Lakini ikiwa upo Duniani kaa ukijua muda na saa yoyote unaweza kuangukia huko.

Najua wengi tunajitajidi kuishi Kwa ukamilifu ikiwa ni njia ya kujiepusha na makosa mbalimbali,lakini niseme tu kama upo Dunia hii na unatafuta wewe ni mfungwa mtarajiwa.

Ujambazi,madeni, umalaya,ulevi,ubishi,kuua na tabia mbaya nyingi tu zinaweza kukufikisha jela,lakini unatambua kama si kila mfungwa ana hatia?

Ndiyo,wapo wafungwa wamefungwa Kwa kufananishwa, mazingira kuwahusisha na uhalifu,kukosa ushahidi au mashahidi kunaweza kukupeleka jela bila hatia.

Leo nikupe moja mbili tatu ,yaani vitu vidogo Sana vinavyoweza kukuweka matatani na ukajilaumu.

1.Epuka kutoa adhabu Kwa kumrushia mtoto wako kitu,iwe fimbo,jiwe au chochote.

2.Epuka kupiga mtoto wa jirani,ndugu na jamaa Kwa Nia nzuri ya kumuonya.

3.Epuka kuchangamkia wasichana, wadogo Sana,(siku hizi hata watoto wa kiume) ni mbaya sana

4.Epuka kushinda au kuweka mazoea na watu wa madili machafu.

5.Punguza mazoea na wake za watu

6.Jitahidi kufuata hata 0.5 %kufuata Sheria na taratibu za nchi.

No reforms
No election.

Picha ya siku
Epuka uchochezi dhidi ya Serikali na epuka kusambaza Taarifa za uongo

#Ocktober tuna✅
 
Kuna kipindi maisha yangu yalikuwa taabuni Hadi nikajisemea kuwa Bora niishi jela maana jela haivuji.
 
Back
Top Bottom