Magazine ya kanisani hasa kwa wadada

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,639
Reaction score
220,414

Wengi wenu mmjejaliwa uzuri, sasa kule kanisani mkifanya ndiyo sehemu ya maonyesho ya mavazi kwakweli mnatukwaza hasa sisi wenye ndoa.

Binti hata kupiga magoti anashindwa nguo imebana huku imepasuliwa huku. Hata kama unaumwa mr akisema ninakwenda kanisani inabidi ujikongoje umfuate.

Kheri huku kwetu Iringa kipindi cha baridi inabidi wastiri maungo. Ni kwa kujikinga na baridi tu.



Si mbaya kuwa na magauni matatu ya heshima ambayo ni ya kanisani tu.
 
Mate umesahau tumekuwa wengi kuliko me
Ni mpango wa kupokezana
Copy n paste inawatesa wengi
* nje ya mada kidogo msibani vipi mate huendi? Nasikia wengine wameenda watoke kwa social media wapate kiki uwiiiii WaTz nimenyoosha mikono juu..
 
Mate umesahau tumekuwa wengi kuliko me
Ni mpango wa kupokezana
Copy n paste inawatesa wengi
* nje ya mada kidogo msibani vipi mate huendi? Nasikia wengine wameenda watoke kwa social media wapate kiki uwiiiii WaTz nimenyoosha mikono juu..
Mmh mate wanapata nafasi ya kuonekana kwenye camera ni viongozi na ma celebrate wetu. Mimi nikienda nitaishia jikoni kukata vitunguu.
 
Mimi niko Igumbilo hapa Iringa na ninasali usharika wa Igumbilo na wakati mwingine Kanisa Kuu Iringa mjini. Wadada wa huku wana ngozi inayozuia na kuhimili baridi za aina zote, wanapiga tuvazi tata hata kukiwa na baridi ya 4Β°C
 
Kamwene.......[emoji5][emoji5][emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Magazine"??

Wife ulionja mvinyo jana??
 
Mate umesahau tumekuwa wengi kuliko me
Ni mpango wa kupokezana
Copy n paste inawatesa wengi
* nje ya mada kidogo msibani vipi mate huendi? Nasikia wengine wameenda watoke kwa social media wapate kiki uwiiiii WaTz nimenyoosha mikono juu..
Wanakwaya wa WAWATA hawana nafasi kwenye huu msiba wa makada na maselebriti. Hivi wanakwaya wa kikatoliki nao ni wasanii?
 
Sio matatu tu dada,yawe yote ya heshima.
Mavazi pekee hayapimi ukristo wa Mtu lakini Ni moja miongoni mwa vipimo

Sisi ni barua,tuwe vielelezo ,mataifa waige mienendo yetu..upole wetu,heshima yetu,matendo yetu na tabia zetu zijulikane na watu



Sisi Ni Nuru ya ulimwengu,,sisi Ni taa...ukivaa hivyo mtu anaetarajia kuokoka atajifunza nini!???hakuna

Nini kitakachomuonyesha utofauti Kati yako na yeye??hakuna

Wakristo wa siku hizi tunavaa Kama watu tusiomjua Mungu, yaani Mtu anavaa Hadi unajiuliza hivi huyu hakujikagua kabla hajaondoka!! Mwingine anaanza kuhangaika kuvuta kinguo kipo huku juu ya magoti badala kukaa kwa utulivu kusikiliza ibada



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Asifiwe Sana...
 
Ndugu zangu waislam wapo 1000 miles kuliko sisi. Wao kwenye ibada hawachanganyiki kabsa na wanawake hii inazuia fitna km hizi za kutamaniana. Kila jinsia kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…