Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
1.Mzimu wa Sharomilionea wamtokea
King Majuto.
2.Mzimu unaotafuna Bongo movies haujamaliza Kazi,baada ya kuikosa Roho ya Vengu na Sajuki sasa waisaka
roho ya JB NA RAY
3.Masele Chapombe hausishwa na kifo cha Sharo.
4.Mzimu wa Sharo wamtokea prodyuza
wa Mac Media
5.Kumbe Sharo kaponzwa na ubishi? Alivunja moja ya shart la freemason
6.Mzaz wa Sharo amtaja mbaya wa kifo cha Mwanae
7.Shetani lililotoa roho ya Mafisango ndo
katoa roho ya Sharo
8.Ajal ya sharo mauzauza kibao,king Majuto ahusishwa.
9.Ndugu wa sharo wagombania pamba za Marehemu.
10.Kiatu alichopata nacho ajali SHARO
chaonekana Baharini.
11. Mwanamke aibuka adai ana mimba ya Sharo. Mwingie aleta mtoto.
King Majuto.
2.Mzimu unaotafuna Bongo movies haujamaliza Kazi,baada ya kuikosa Roho ya Vengu na Sajuki sasa waisaka
roho ya JB NA RAY
3.Masele Chapombe hausishwa na kifo cha Sharo.
4.Mzimu wa Sharo wamtokea prodyuza
wa Mac Media
5.Kumbe Sharo kaponzwa na ubishi? Alivunja moja ya shart la freemason
6.Mzaz wa Sharo amtaja mbaya wa kifo cha Mwanae
7.Shetani lililotoa roho ya Mafisango ndo
katoa roho ya Sharo
8.Ajal ya sharo mauzauza kibao,king Majuto ahusishwa.
9.Ndugu wa sharo wagombania pamba za Marehemu.
10.Kiatu alichopata nacho ajali SHARO
chaonekana Baharini.
11. Mwanamke aibuka adai ana mimba ya Sharo. Mwingie aleta mtoto.