Magazeti ya udaku yatakavyoandika baada ya kifo cha Sharo Milionea.

Nicas Mtei

JF-Expert Member
Dec 21, 2010
11,556
7,085
1.Mzimu wa Sharomilionea wamtokea
King Majuto.

2.Mzimu unaotafuna Bongo movies haujamaliza Kazi,baada ya kuikosa Roho ya Vengu na Sajuki sasa waisaka
roho ya JB NA RAY

3.Masele Chapombe hausishwa na kifo cha Sharo.

4.Mzimu wa Sharo wamtokea prodyuza
wa Mac Media

5.Kumbe Sharo kaponzwa na ubishi? Alivunja moja ya shart la freemason

6.Mzaz wa Sharo amtaja mbaya wa kifo cha Mwanae

7.Shetani lililotoa roho ya Mafisango ndo
katoa roho ya Sharo

8.Ajal ya sharo mauzauza kibao,king Majuto ahusishwa.


9.Ndugu wa sharo wagombania pamba za Marehemu.

10.Kiatu alichopata nacho ajali SHARO
chaonekana Baharini.

11. Mwanamke aibuka adai ana mimba ya Sharo. Mwingie aleta mtoto.
 
12. Kifo cha SHARO MILLIONEA
King Majuto ana nini?
Huyu ni msanii wa tatu kufa akiwa chini yake
 
mabwaku...

13. Sharo alijitabiria kifo chake....

14. Ushirikina wahisishwa na ajali ya sharo

15. Alipokaribia kupata ajali aliaga...
 
Pipo bhana.... Kweli Nicas Mtei wewe ni creative! Mmasai hapo angekuambia "mepatia lakini imebunisha". Ila kiukweli yatasemwa mengi na yataandikwa mengi sana tena for weeks if not for months. The guy has gone forever that's reality we have to accept
 
Last edited by a moderator:
tuondoke mwananangu hapa kuna fiksi kama za naibu waziri tanzania ni muungano wa zimbabwe na zanzibar
 
Pipo bhana.... Kweli Nicas Mtei wewe ni creative! Mmasai hapo angekuambia "mepatia lakini imebunisha". Ila kiukweli yatasemwa mengi na yataandikwa mengi sana tena for weeks if not for months. The guy has gone forever that's reality we have to accept

Tayari wadaku wameshajiandaa. Wengne wameshaenda Tanga. Halafu wapo wasanii watakaochakachua rambirambi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom