Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Sharo akutana na kanumba
Nicas Mtei, charminglady na Madame B mmenivunja mbavu kwa kweli :becky:. najua ni udaku tuu lakini at times haya magazeti hunichefua sana wanapo-take kifo kimzaha kiasi hiki. no doubt heading kama hizo zitatumika ili kuuza nakala bila kujali hali ya wafiwa/ndugu
Dili lingine la Shigongo. Global Publishers watakuwa washatua tanga saa hizi.. Kutengeneza hela kwa migongo ya wengine. Mungu awasamehe 2!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kamanda Nicas Mtei umemaliza kila kitu hebu wapelekee na kule fb kwenye tanuru