Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu nina taarifa imenifikia muda wa dk mbili zilizopita kuwa Mh Suleiman Sadick ananunuwa magazeti yote ya Ijumaa kwa kuwa yameandika skendo yake ya Kumuita Amosi Makala kuwa ni malaya katika kikao chao kilichofanyika siku zilizopita na amelipandisha bei anayalangua kwa Tsh.500/= kila Gazeti badala ya Tshs 400/=