RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 501
Bado Dar ni wazaramo itabakia hivyo hata akibaki mmojahakuna mzaramo Dar, wamesukumiwa Pwani.
wako Chole, Kazimzumbe nakuendelea
Bado Dar ni wazaramo itabakia hivyo hata akibaki mmojahakuna mzaramo Dar, wamesukumiwa Pwani.
wako Chole, Kazimzumbe nakuendelea
We kiazi kweli unafikiri watu wananjaa km wwWengi wanakodi magari msimu huu.
Sawa wamekodi kwa pesa zao!!Wengi wanakodi magari msimu huu.
Hahaha mkuu sije ikawa team PapasoNdio maana mimi nimeamua zangu kupanda ndege nilijua tuu hapo njiani nikienda na v8 langu usumbufu
Hongera zao.Sawa wamekodi kwa pesa zao!!
Dar ni wazaramo tu kama ilivyo mwanza na wasukuma au kilimanjaro na wachagga na wapareHawapendagi kabisa wabara kusikia Dar ni ya wazaramo. Kama wakuja wakuja tu
Ukiwa na na BMW na ww kwenye list LA matajiri upoHongera zao.
Gari Tanzania ni utajiri.
Bado Dar ni wazaramo itabakia hivyo hata akibaki mmoja
Kuna mahali wamevunja sheria? Hii ni haki ya watu kwenda wanakotaka...
Acheni wivu wa kijingaWanaenda kusalimia mizimu yao
Sio utajiri ila kukodi na kuweka mafuta lazima uwe na pesa ya kumudu kufanya hivyo!Hongera zao.
Gari Tanzania ni utajiri.
Hongera zao.Sio utajiri ila kukodi na kuweka mafuta lazima uwe na pesa ya kumudu kufanya hivyo!
Ila Mama siku hizi umepunguza makeke sana kulikoni?Hongera zao.
Tupo saa tisa usiku j3 naamsha dude
Wengi wanakodi magari msimu huu.
Hilo halina ubishi wenzetu wa kaskazini walishatangulia sana,nasi tupambane tuwakuteNikiwa njiani kutokea Arusha Jana mpaka Leo tarehe 22 Dec nimeshuhudia kupishana na msururu wa magari binafsi mengi utafikiri wadudu wakisafiri, yote yanaonekana kutokea Dar, je watu wa kaskazini ndiyo wanaongoza kuwa na vyombo vya usafiri au Magari