Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Askari kwenye Mji wa Hamburg huko nchini Ujerumani wametumia maji ya kwenye magari ya
washa washa kumwagilia maua na miti ambayo imekauka, hii ni baada ya magari hayo kukosa kazi, eti hakuna maandamano kila kitu shwari na sasa wameamua kumwagilia maua na miti, ...
Muzungu bhana kwa propaganda na usanii ni nomaa!
washa washa kumwagilia maua na miti ambayo imekauka, hii ni baada ya magari hayo kukosa kazi, eti hakuna maandamano kila kitu shwari na sasa wameamua kumwagilia maua na miti, ...
Muzungu bhana kwa propaganda na usanii ni nomaa!