Magari ya viongozi kuzimwa?

Makonyeza

Member
Feb 2, 2020
69
252
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!

Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake

Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!
DSC_1661.JPG
 
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!

Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake

Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!View attachment 2229207
They can hardly change to be serious!

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!

Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake

Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!View attachment 2229207
Hahahahahaha usijali mwanangu Makonyeza ntakununulia ndege yako😅
 
500ltr kwa mwezi,zinatumika mpaka sehemu isiyo na ulazima.

speaker anakusudia tujifunze kubana matumizi hali inapokuwa si rafiki.
 
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!
emoji23.png


Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake
emoji1787.png
emoji1787.png


Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!View attachment 2229207
Kuzima siyo tatizo Ila likegoma kuwaka ndiyo tatizo wakati kiongozi yumo ndani ya Gari hapo ndiyo utapewa uzembe na mbaya zaidi awe anawahi msosi
he !,mara pap viet haliwaki,na kimeuman
 
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!

Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake

Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!View attachment 2229207
Kuna siku nlienda private hospital fulani hivi hapa majuzi. Kuna gari ya hawa majamaa ilipaki masaa zaidi ya mawili. Engine iko on, AC kwenye gari iko on. Huo ndiyo ukweli wa nchi zetu za kiafrica. Kutembeza vibakuli dunia nzima ili hawa majamaa wa enjoy hizo hela.
 
Dada yangu Tulia Atkson

Kwa umri wako na taaluma yako sikutegemea uje na cheap danganya toto kama hii!

Hii hapana bhana, unajaribu kutudanganya watu wazima wenzio, hapana dada yangu, yaani nasema VERY BIG NO!

Kama mngekuwa na dhati kwenye hili mngeelekeza aidha kunyang'anya hayo magari yanayotumia mafuta mengi na kuwapa magari ya kawaida, au kukata posho za Mafuta kwa viongozi wote, then kwa idadi yenu ingetuwia rahisi kujua tumeokoa Tshs. Ngapi.

Na kiasi kitakachookolewa kiongezwe katika ile ruzuku ya mafuta iliyotolewa na serikali.

Na kwa kufanya hivyo bado mtabaki kuwa viongozi tu, kiongozi sio gari la gharama, ni hekima na busara zako kwa faida ya watu wako.

Kuwaambia viongozi kuzima magari yao wanapokuwa wameshuka ni kumdanganya mtoto utamnunulia ndege yake

Kwenye mambo makubwa nadhani tunahitaji kuwa seriaz dada yangu!View attachment 2229207
Kupunguza matumizi ya mafuta si kuzima magari wakati wa wakiwa kwenye vikao Ila hao viongozi wapunguze misele mitaani au ikiwezekana naishauli serikali kupiga rangi maalum Gari za Hawa wakubwa mmnaowaita mabosi maana ukukwetu yamekuwa mengi sana
 
Fungu la mafuta liko pale pale uzime usizime, yaani mafuta ni mengi mno hadi madereva 'hupiga nyoka' lakini hayaishi…. sembuse kuzima.!

Kwanza Betina anatoa FUTUHI hiyo kama nani?
 
Ishu sio kuzima gari Tulia angeshauri vibosile wapunguziwe mgao wa Wese badala ya Lita 70 mpaka 80 kwa wiki wanywe Lita 40 au 50 kwa wiki
Hathubuti yeye mwenyewe anaweza kumwambia dereva azime gari azime AC!?
Cameroon Britain alijitahidi kuishi Kwa kuendesha baiskeli kwenda ofisini!
Ingawa walinzi walikuwa wanakuja nyuma na gari! Kichekesho, Ila waingereza Kwa asilimia Fulani wakakopi trend ya kuendesha baiskeli kuelekea ofisini hasa summer!
 
Huko ni kumchezea Sharubu Simba. Hicho Kiti ataanza kukiona cha moto.
 
Back
Top Bottom