Magari ya Rizwan

Magari ya Rizwan

Hivi mkapa hana mtoto? Mbona sio fisadi yeye?
 
wanajf.
Hapa niko mpakani namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za rwizan zimetoka nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?


kama zinakuja mujini dasalama vipi ushaomba wakupe lifti??

Ooh sorry,,kumbe strictly no passangers allowed..!

Just jokes mkuu,,

Vipi unaweza yapiga picha na kutupa kaushahid kidogo??

Kwa pamoja tuuchukie ufisadi ndugu zangu..
 
Pro-Chadema JF tafute kazi mfanye majungu na kushinda vijiweni huku mnacheza drafti haitawasaidia...kwa hiyo uvivu wenu umesababishwa na Rizwani.
 
nimewahoji madreva kama sita hivi, wanasema ni za rizwan, na watu wa custom, nimehoji mbona haya magari yanapita tu? Nikajibiwa ni za wakubwa. Sasa ushahidi gani una taka?
Hongera riz kwa kutupatia ajira ndugu zetu. Keep it up
 
Angezubaa na kubaki hana kitu bado raia wangekuja kuongea kuwa, aah dogo kacheza yule badala angepiga hela enzi za baba yake? Wabongo sisi banaaa!!! Humu jamvini ni nani kati yetu angepata chance hiyo asingeitumia?
 
Yaani kama mali ni zake, je kazitoa wapi hela zote hizo? Swali hilo kijibiwa ni la muhimu sana.
 
Wanajf.
Hapa niko mpakani Namanga naona magari mapya ya kubebea mafuta zaidi ya 78 harakaharaka nilizoweza kuhesabu. Naambiwa ni za Rwizan zimetoka Nairobi kujengewa tank za mafuta. Sawali utajiri huu ameutoa wapi?

Kapata hapahapa nchini,si anafanya biashara zake,halafu pili huyo ana kazi yake ni Mwanasheria,hizo ni mali na fedha zake kinakuuma nini wewe???acha umbea fanya kazi/biashara ili na wewe upate lakini sio kuanza kuwaonea wivu wenzako.
 
Angezubaa na kubaki hana kitu bado raia wangekuja kuongea kuwa,aah dogo kacheza yule badala angepiga heal enzi za baba yake?wabongo cc banaaa!!!Humu jamvini ni nani kati yetu angepata chance hiyo asingeitumia?

Umewaona eeeeeee,wabongo wambea kweli.
 
Pro-Chadema JF tafute kazi mfanye majungu na kushinda vijiweni huku mnacheza drafti haitawasaidia...kwa hiyo uvivu wenu umesababishwa na Rizwani.

Hawawezxi kazi hao,kazi yao kubwa ni majungu na hasa kufuatilia mtu fulani leo kafanya nini?hata ukiwapa mtaji watakula na mwisho wataishiwa na kurudi kwenye majungu,achana nao ndio kazi zao hao.
 
Ninyi wachumia tumbo mnakera sana humu. Hivi huyu jamaa amewahonga nini hadi mnatoka povu namna hii kumtetea?

Akili yako inawaza watu kuhongwa tu,jaribu kupanua akili yako kidoogo zaidi ya hapo ili uwaze na kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo,mbona wewe hatujauliza juu ya mali zako,au unadhani haufahamiki,subiri tu muosha siku zote naye huoshwa.
 
Kijana katumia vizuri nafasi ya mshua,Golden chance never come twice!!
Nasikia ana hisa lake oil ,anajenga kiwanda cha cement kigamboni duh
uuuuuuiiiiiiiiii Tanzania
Ile biashara ya Lucky cement anayofanya na watoto wa makamu waona ni binge la dili ndio maana wameamua kujenga chao kabisa
 
Huyu dogo Riz Moja sijui nitawzaje kumpata, nataka nimuombe msaada wa Vitanda kwa ajili ya wamama wajawazito wanaolala chini pale Amana hospital wakisubiri kujifungua, maana kama SERIKALI imeshindwa japo vitanda kwa mama zetu labda huyu kijana anaweza kusaidia.
 
Nenda jengo la ATCL posta kuna kampuni yake kubwa sana ya lugumi enterpri ltd manager wake hajui kusoma wa kuandika atakupa jibu...

Inaliza sana na kuumia kweli
wakati watanzania wanaangai wengine........

V
SENGEREMA

Unamuongelea Side Bilionea??
 
Nenda jengo la ATCL posta kuna kampuni yake kubwa sana ya lugumi enterpri ltd manager wake hajui kusoma wa kuandika atakupa jibu...

Inaliza sana na kuumia kweli
wakati watanzania wanaangai wengine........

V
SENGEREMA

Mwacheni jamani, KUTESA KWA ZAMU. Hata nawe (nanyi, nasi) ungepata fursa hiyo pengine ungefanya hivyo au zaidi. Hivyo mwacheni ajichane na kama kweli kuna foul play atakuja lipa tu, kwani what goes round comes around.
 
jk kwa riz hageuzi hata akitaka aachiwe ikulu akinuna tu anaachiwa ikulu au akimtaka mama salma amgonge akilia tu mdingi wake anampa, mtoto wa panya hafundishwi kuiba anarithi kwa wazazi wake.
 
Pro-Chadema JF tafute kazi mfanye majungu na kushinda vijiweni huku mnacheza drafti haitawasaidia...kwa hiyo uvivu wenu umesababishwa na Rizwani.

Kumbe wizi nao ni kuchapa kazi?
 
Wakuu hiyo ni HYPOTHESIS AU CONCLUSION?: hypothesis/hVI"pQTIsIsn. (pl. hypotheses /-si;z/) a supposition or proposed explanation made on the basis of limited evidence as a starting point for further investigation.  Philosophy a proposition made as a basis for reasoning.by OXFORD UNIVERSITY PRESS–
DERIVATIVES hypothesize (also hypothesise) v.
–
ORIGIN C16: via late L. from Gk hupothesis ‘foundation’.
 
Siungi mkono hoja hii mambo ya kusema magari au kitu fulani ni cha mtu fulani bila ya kuwa na ushahidi wa ata wa kimazingira hii naikataa na umu JF tuikemee sana sababu hii trend ya kila magari na mabasi kuwa ya RIDHIWAN na kila maghorofa kuwa ya LOWASSA mimi naona ni utoto emu tuje na data ili tuende sawa.

Hapa mkuu umenena vyema, ni hoja za kitoto na za kishabiki sana. Na vilevile tuelewe kwamba wale watu wanakopesheka na bank. Tunaweza fika mwisho wa siku tukakuta kweli maloli hata 100 ya 40fit ni ya Riziwani kweli na alipewa mkopo bank ameshalipa robo tatu na anadaiwa robo by 2015. Tutafanyaje? tutaanza kuuliza maswali yasiyotuhusu kama vile collateral alitoa wapi? Haitasaidia. Hapa tuwaombe wenzetu waandishi wa habari za kichunguzi wachunguze na waje waandike details zote na sio huu uropokaji. Lingine watu wamekazania Lowasa na Riz, mbona wa Kagoda, Meremeta, deep green, Agricultural support toka Japan hawawataji. Au huu sio ufisadi?
 
Back
Top Bottom